Ramsey Vinjunga
Member
- Feb 16, 2014
- 73
- 23
Hili somo ni zuri sna kwa kweli
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
na mimi nilitaka niulize hii mkuumshana jr hiyo ya kumvisha mtoto nguo nyingi sijaelewa, wengne wanasema hiyo ndo inafaa
mimi sio kuandika tu bali nilimkaririsha namba za mimi na mama yake na bibi yake na hii ilisaidia siku moja alienda na shangazi yake kutembea sabasaba wakapotezana akapelekwa akamuomba mama mmoja ampigie simu mama yake then mama yake akampigia shangazi yake ili aende kwenye hilo banda amchukueKwa wale wenye watoto wanaosoma
-ni lazima na ni muhimu kumpa namba zenu wazazi au kuziandika kwenye begi lake ni muhimu na zimesaidia wengi
-kumuonya tabia ya kuombaomba na kuwa makini na watu asiowajua. ..watoto wengi wanaopotea hupotea kwa staili hizi
Hawa watoto wanaosoma ni vema kuzifuatilia nyendo zao kwa karibu tabia zao marafiki walionao na vitu walivyo navyo kwenye mikoba na vyumbani mwao
Nimejifunza kitu hapamimi sio kuandika tu bali nilimkaririsha namba za mimi na mama yake na bibi yake na hii ilisaidia siku moja alienda na shangazi yake kutembea sabasaba wakapotezana akapelekwa akamuomba mama mmoja ampigie simu mama yake then mama yake akampigia shangazi yake ili aende kwenye hilo banda amchukue
Kijana wa leo mzazi wa kesho wapite wajifunze.Mada zako mshana jr nyingi ni nzuri na zenye mafunzo mazuri ila nadhani humu wengi ni vijana ambao hawajaanza kulea na mara nyingi mada kama hizi wachangiaji wanakuwa si wengi sana lakini weka mada ihusianayo na ngono uone!
Mkuu ulimkaririsha akiwa na umri gani? nimeipenda hii.mimi sio kuandika tu bali nilimkaririsha namba za mimi na mama yake na bibi yake na hii ilisaidia siku moja alienda na shangazi yake kutembea sabasaba wakapotezana akapelekwa akamuomba mama mmoja ampigie simu mama yake then mama yake akampigia shangazi yake ili aende kwenye hilo banda amchukue
Hili lilinisumbua kidogo kwa mwanangu wa kwaza kwani hadi kula alikua anatumia kushoto na kulia nikaweza kumlazimisha awe anakula na kwa mkono wa kulia,ila kwenye kuandika anatumia mikono yote miwili na sikumzuia.Lingine la muhimu sana ni kuacha tabia ya kumlazimisha mtoto kutumia mkono fulani hasa kwenye kuandika nk
Kuna watoto kiasili wamezaliwa kutumia mkono wa kushoto huna haja ya kwenda kinyume na asili
Hapo ulifanya vema sana hasa ukizingatia mila na desturi zetu kwenye kula na kusalimianaHili lilinisumbua kidogo kwa mwanangu wa kwaza kwani hadi kula alikua anatumia kushoto na kulia nikaweza kumlazimisha awe anakula na kwa mkono wa kulia,ila kwenye kuandika anatumia mikono yote miwili na sikumzuia.
Makuzi ni muhimu na yana impact kubwa sana kwa mtoto...hapo majibu yako yatategemea mtoto amelelewa katika malezi ganiAfadhali nimeiona hii thread wakati muhafaka maana juzi hapa siku mbili zimepita tukiwa tunaangalia tamthilia moja mida ya jioni Mdogo wangu wa kike yupo around 17 yrs alikuja kunitembelea jioni akiwa ameambatana my uncle kasichana kama 13 au 12 yrs hivi
Nikawa nawapa mafundisho Mara ikaingia maada ya Amri kuu za mungu, wakati nazitaja ilipofika amri ya 6 nayo nikaitaja lakini bila kusita kale kabinti kakadakia na kuniuliza "hivi uncle Kuzini maana yake nini? maana nasikia sana watu wakilisema neno hili" duh wote tulistuka na nilipigwa na butwaa na kuona noma ,kwakweli nilizuga tu na kumwambia ni kufanya mapenzi na uchafu ambao haumfurahishi Mungu ,akaangalia chini kwa kuona aibu
Je,mtoto kama huyo ni majibu ya aina gani ambayo anapaswa kupewa katika kipindi kama icho na je nilikosea kumjibu hivyo
Kuna hivi vitu sijajua vina ithibati kiasi gani
-maziwa ya mama kuwa na mafuta mengi
-maziwa ya mama kuwa mepesi/mzito
-mtoto kupenda ziwa moja zaidi ya lingine
Asante sana charminglady na hongera kwa kujifungua salama Glory be to GodMkuu @mshanajr naomba nikujibu kipengele cha mwisho. Sababu na mtoto kupenda ziwa moja zaidi ya jingine...
Mama anaponyonyesha inatakiwa anyonyeshe maziwa yote mawili. kwa muda sawa kama ni dakika 15 -20 asije nyonyesha ziwa moja kwa wingi kuliko jingine ,hilo asilo nyonyesha litakuwa dogo na hilo jingine litakuwa kubwa kiasi cha kwamba akiva nguo itaonyesha utofauti , mtoto hatolitaka kunyonya tena sababu maziwa yake yatakuwa yamechacha kutokana na kutonyonywa mara kwa mara,kila akimnyonyesha atahisi machungu na kukataa. Hii ndio sababu inayopelekea mtoto kukataa ziwa moja.
Asante sana charminglady na hongera kwa kujifungua salama Glory be to God