Yo majesty
JF-Expert Member
- Sep 13, 2023
- 687
- 1,179
Mwanamme uwe slim kama mange kimavi au kagame huko kikojoleoni patakuaje
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ndio ukoje huoSiyo kitambi, uwe na mwili wa uanaume mkuu
Alafu ukishamtengeneza Wanunuaji wanakuja wanamnunua unaludi ulipoanziawanawake mbona wapo wengi sana tena wazuri mnooo nashangaa nikisikia dume lina lalamika ati nimekataliwa na mwanamke kisa yeye sijui nini ,mwembamba shezii kabisa ,tatizo mnataka wanawake ambao wanajiuza, kama unataka mke tafuta mwanamke anayeonekana wakawaida lakini kumbe ni kifaa mtengeneze wewe mwenyewe mwanamke wako utaona life is sooo easy.
Kama wakondio ukoje huo
Sina muda mrefu wa kuwepo jf kwa Takataka zilizopo siku hizi.Wakuu kwema?
Leo nimelia sana baada ya kuambiwa "Kwa wembamba wako huo nikupeleke wap" Na mwanamke niliye kuwa nampenda.
Kumbe kitambi huwa ni dili? Basi ngoja nikitafute.
Thread tayari.
Nikuoneshe wembamba wangu unipe marksUle upo sahihi,Kuna wembamba mkuu
Hapo sawa.Ule upo sahihi,Kuna wembamba mkuu
Kweli kabisa... Mifupa huwa inatuchoma.Mkuu kitambi sio deal ispokuwa hata kama we ni Mwembamba jitajidi uwe na tunyama nyama.
Ukweli ni kuwa hakuna Mwanamke anapenda mwanaume mwenye mifupa imechomoza. Akikwambia anakupenda basi kuna kitu a akunyemelea tu.
Bado tulikua kwenye kikao Cha dharura sie watu wembamba...
Mlogolo!Bado tulikua kwenye kikao Cha dharura sie watu wembamba...
Kama Tanga
Umetafunia wapi Krismas?
😂😂😂Mkuu kitambi sio deal ispokuwa hata kama we ni Mwembamba jitajidi uwe na tunyama nyama.
Ukweli ni kuwa hakuna Mwanamke anapenda mwanaume mwenye mifupa imechomoza. Akikwambia anakupenda basi kuna kitu a akunyemelea tu.
Hajakutana na shughuli zao watu wembamba,haaaaaWakuu kwema?
Leo nimelia sana baada ya kuambiwa "Kwa wembamba wako huo nikupeleke wap" Na mwanamke niliye kuwa nampenda.
Kumbe kitambi huwa ni dili? Basi ngoja nikitafute.
Thread tayari.
Issue siyo embamba, issue ni hela.Wakuu kwema?
Leo nimelia sana baada ya kuambiwa "Kwa wembamba wako huo nikupeleke wap" Na mwanamke niliye kuwa nampenda.
Kumbe kitambi huwa ni dili? Basi ngoja nikitafute.
Thread tayari.