Kwa wembamba wako huo mie nikupeleke wapi?

Kwa wembamba wako huo mie nikupeleke wapi?

wanawake mbona wapo wengi sana tena wazuri mnooo nashangaa nikisikia dume lina lalamika ati nimekataliwa na mwanamke kisa yeye sijui nini ,mwembamba shezii kabisa ,tatizo mnataka wanawake ambao wanajiuza, kama unataka mke tafuta mwanamke anayeonekana wakawaida lakini kumbe ni kifaa mtengeneze wewe mwenyewe mwanamke wako utaona life is sooo easy.
Alafu ukishamtengeneza Wanunuaji wanakuja wanamnunua unaludi ulipoanzia
 
Wakuu kwema?

Leo nimelia sana baada ya kuambiwa "Kwa wembamba wako huo nikupeleke wap" Na mwanamke niliye kuwa nampenda.

Kumbe kitambi huwa ni dili? Basi ngoja nikitafute.

Thread tayari.
Sina muda mrefu wa kuwepo jf kwa Takataka zilizopo siku hizi.
 
Mkuu kitambi sio deal ispokuwa hata kama we ni Mwembamba jitajidi uwe na tunyama nyama.

Ukweli ni kuwa hakuna Mwanamke anapenda mwanaume mwenye mifupa imechomoza. Akikwambia anakupenda basi kuna kitu a akunyemelea tu.
Kweli kabisa... Mifupa huwa inatuchoma.
 
Mkuu kitambi sio deal ispokuwa hata kama we ni Mwembamba jitajidi uwe na tunyama nyama.

Ukweli ni kuwa hakuna Mwanamke anapenda mwanaume mwenye mifupa imechomoza. Akikwambia anakupenda basi kuna kitu a akunyemelea tu.
😂😂😂
 
Wakuu kwema?

Leo nimelia sana baada ya kuambiwa "Kwa wembamba wako huo nikupeleke wap" Na mwanamke niliye kuwa nampenda.

Kumbe kitambi huwa ni dili? Basi ngoja nikitafute.

Thread tayari.
Hajakutana na shughuli zao watu wembamba,haaaaa
 
Wakuu kwema?

Leo nimelia sana baada ya kuambiwa "Kwa wembamba wako huo nikupeleke wap" Na mwanamke niliye kuwa nampenda.

Kumbe kitambi huwa ni dili? Basi ngoja nikitafute.

Thread tayari.
Issue siyo embamba, issue ni hela.
 
Back
Top Bottom