Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 53,857
- 121,995
YEYE ndio kila kitu!, ni Alfa na Omega!.Ankal huyu YEYE kiboko
P
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
YEYE ndio kila kitu!, ni Alfa na Omega!.Ankal huyu YEYE kiboko
HILO NALO LITATIMIAWasioelewa kitu inaitwa numerogy watakubeza, waache!.
Ile siku TAL anashambuliwa, ilikuwa afe!, lakini YEYE akamkinga na kumuepusha na kifo kwasababu ana malengo fulani na Lissu, kama ni uenyekiti wa Chadema, hilo limetimia, na kama ni kubwa zaidi ya hilo, pia litatimia!
P
HILO NALO LITATIMIWasioelewa kitu inaitwa numerogy watakubeza, waache!.
Ile siku TAL anashambuliwa, ilikuwa afe!, lakini YEYE akamkinga na kumuepusha na kifo kwasababu ana malengo fulani na Lissu, kama ni uenyekiti wa Chadema, hilo limetimia, na kama ni kubwa zaidi ya hilo, pia litatimia!
P
Hakika Bro Pascal Mayalla ni YEYE ni Mwanzo na Mwisho ... akianzisha jambo nj kwa sababu alikwisha kulimalizaYEYE ndio kila kitu!, ni Alfa na Omega!.
P
Hakika.Ile siku TAL anashambuliwa, ilikuwa afe!, lakini YEYE akamkinga na kumuepusha na kifo kwasababu ana malengo fulani na Lissu, kama ni uenyekiti wa Chadema, hilo limetimia, na kama ni kubwa zaidi ya hilo, pia litatimia!
Kuna watu hawapendi kusikia ukweli!.HILO NALO LITATIMI
Hakika Bro Pascal Mayalla ni YEYE ni Mwanzo na Mwisho ... akianzisha jambo nj kwa sababu alikwisha kulimaliza
Brother P, Kutokupenda kwao hakufanyia ukweli usiwe ukweli wala ukweli usitimie!Kuna watu hawapendi kusikia ukweli!.
P
🤣🤣🤣🤣🤣Kaaaaazii kweli kweli.
Mkuu lipa madeni ya watu inawezekana ndio yanakusababishia msongo wa mawazo
Upo sahihi sana. Na hivyo wanaosema MUNGU ana makusudi na TAL nao wapo sahihi! Usiwakatalie!Sikubaliani na dhana ya Mungu kuwa na makusudi na mtu Alie nusurika na kifo.
Yesu aliomba kikombe kimuepuke na haikuwa hivyo.
Baraba ilikuwa chupuchupu auwawe pamoja na Yesu pale msalabani lakini akaponywa na kifo dakika za mwisho.
50 Cents aliponywa na kifo mwaka 2000 lakini Sasa hivi anafanya kufuru. Anasherehekea matatizo ya wenzake hadharani. Mbaya Zaidi ana sherehekea Hadi vifo. Juzi kapost kusherehekea kifo cha Irv Gotti.
Tupac alinusurika kufa mwaka 94 akauwawa mwaka 96.
Tafsiri sahihi ya mtu kunusurika kufa ni kwamba siku zake hazijafika na Sio kwamba eti Mungu ana makusudi na yeye.
If we go down to that level then Mungu ana makusudi na kila mmoja wetu
Elimu ya namba ni utabiri tu wa kupiga bao. Ninyi endeleeni kupiga bao huku muda wa UCHAGUZI mkuu unakaribia wakati huo huo hakuna mabadiliko katika katiba Wala KATIBA MPYA. Tujajili namna ya kupata KATIBA MPYA na TUME HURU YA UCHAGUZI.Sikubaliani na dhana ya Mungu kuwa na makusudi na mtu Alie nusurika na kifo.
Yesu aliomba kikombe kimuepuke na haikuwa hivyo.
Baraba ilikuwa chupuchupu auwawe pamoja na Yesu pale msalabani lakini akaponywa na kifo dakika za mwisho.
50 Cents aliponywa na kifo mwaka 2000 lakini Sasa hivi anafanya kufuru. Anasherehekea matatizo ya wenzake hadharani. Mbaya Zaidi ana sherehekea Hadi vifo. Juzi kapost kusherehekea kifo cha Irv Gotti.
Tupac alinusurika kufa mwaka 94 akauwawa mwaka 96.
Tafsiri sahihi ya mtu kunusurika kufa ni kwamba siku zake hazijafika na Sio kwamba eti Mungu ana makusudi na yeye.
If we go down to that level then Mungu ana makusudi na kila mmoja wetu
Mkuu Pascal MayallaWasioelewa kitu inaitwa numerogy watakubeza, waache!.
Ile siku TAL anashambuliwa, ilikuwa afe!, lakini YEYE akamkinga na kumuepusha na kifo kwasababu ana malengo fulani na Lissu, kama ni uenyekiti wa Chadema, hilo limetimia, na kama ni kubwa zaidi ya hilo, pia litatimia!
P
Utajua hujui #ni YEYEElimu ya namba ni utabiri tu wa kupiga bao. Ninyi endeleeni kupiga bao huku muda wa UCHAGUZI mkuu unakaribia wakati huo huo hakuna mabadiliko katika katiba Wala KATIBA MPYA. Tujajili namna ya kupata KATIBA MPYA na TUME HURU YA UCHAGUZI.
Mkuu 50thebe , naunga mkono hoja, ila wenye jicho la kuona hilo ni wachache!, mimi nimeliona, nilichofanya ni kuwaomba kile chetu, kiruhusu mapenzi ya BWANA yatimizwe!, this time around, wasiilete ile michezo ya Nape ya bao la mkono!, they will all be wiped!. Magufuli alikuwa na kibali kikafutwa! Rais ni kibali, anajitambua? Je, tumsaidie atimize matakwa ya kibali chake ili kisifutwe, au tumuachie mwenyewe? kitu kizuri nilichowasaidia, ni kuwaandaa kisaikolojia kuhusu 2025 Kilichotokea Uchaguzi wa Marekani, kinaweza kutokea Uchaguzi 2025?. Tuyatumie matokeo yao kama shamba darasa la 2025 au wao ni wao, na sisi ni sisii?Mkuu Pascal Mayalla
Kiuhalisia TL alikufa 2017, huyu tuliyenaye ni Lissu mpya, ambaye ni mpango special ambao hata yeye Lissu mpya haujui.
Kikubwa Tanzania mpya imefika.
Naunga mkono hoja, hata Lissu nilimshauri kituUpo sahihi sana. Na hivyo wanaosema MUNGU ana makusudi na TAL nao wapo sahihi! Usiwakatalie!
Unajua sometimes kaka unakuwaga na uelewa mkubwa sanaWasioelewa kitu inaitwa numerogy watakubeza, waache!.
Ile siku TAL anashambuliwa, ilikuwa afe!, lakini YEYE akamkinga na kumuepusha na kifo kwasababu ana malengo fulani na Lissu, kama ni uenyekiti wa Chadema, hilo limetimia, na kama ni kubwa zaidi ya hilo, pia litatimia!
P
Mkuu Umko, Umkonto msizwe , thanks for this, ila kuna watu wananiona kama chizi!.Unajua sometimes kaka unakuwaga na uelewa mkubwa sana
Kuna mda mzee huwa unazingua sana mpaka nahisi account yako ipo hackedMkuu Umko, Umkonto msizwe , thanks for this, ila kuna watu wananiona kama chizi!.
P
Sio mimi, ni aliye ndani yangu!.Kuna mda mzee huwa unazingua sana mpaka nahisi account yako ipo hacked
Mkuu 50thebe , naunga mkono hoja, ila wenye jicho la kuona hilo ni wachache!, mimi nimeliona, nilichofanya ni kuwaomba kile chetu, kiruhusu mapenzi ya BWANA yatimizwe!, this time around, wasiilete ile michezo ya Nape ya bao la mkono!, they will all be wiped!. Magufuli alikuwa na kibali kikafutwa! Rais ni kibali, anajitambua? Je, tumsaidie atimize matakwa ya kibali chake ili kisifutwe, au tumuachie mwenyewe? kitu kizuri nilichowasaidia, ni kuwaandaa kisaikolojia kuhusu 2025 Kilichotokea Uchaguzi wa Marekani, kinaweza kutokea Uchaguzi 2025?. Tuyatumie matokeo yao kama shamba darasa la 2025 au wao ni wao, na sisi ni sisii?
P
Aisee....Wasioelewa kitu inaitwa numerogy watakubeza, waache!.
Ile siku TAL anashambuliwa, ilikuwa afe!, lakini YEYE akamkinga na kumuepusha na kifo kwasababu ana malengo fulani na Lissu, kama ni uenyekiti wa Chadema, hilo limetimia, na kama ni kubwa zaidi ya hilo, pia litatimia!
P
Ukiwa mkweli na kusimama kwenye kweli, unakuwa kama mimi nilivyo!.Aisee....
It's very rare to expect a statement like this coming from a person like you Mr Pascal Mayalla describing a leader from opposition political party specific of Tundu Lissu kind who is a great critic of a ruling political party - CCM to where you belong...