TheForgotten Genious
JF-Expert Member
- Jan 18, 2014
- 2,087
- 3,156
Naomba kujua changamoto mnazokutana nazo katika mfumo wa TARURA wakulipia maegesho watu mnaomiliki vyombo vya moto hasa katika vipengele hivi;
1.Uharaka katika kufanya malipo.
2.Usahihi katika gharama na muda uliotumika.
3.Usaidizi wakati wa kuegesha
4.Kujua sehemu sahihi ya kupaki iliyowazi hata kabla humaniza katika eneo husika.
5.Ubora wa watoa huduma wa kuongoza maegesho.
6.Ubora katika huma Za wateja.
Natanguliza Shukurani.
1.Uharaka katika kufanya malipo.
2.Usahihi katika gharama na muda uliotumika.
3.Usaidizi wakati wa kuegesha
4.Kujua sehemu sahihi ya kupaki iliyowazi hata kabla humaniza katika eneo husika.
5.Ubora wa watoa huduma wa kuongoza maegesho.
6.Ubora katika huma Za wateja.
Natanguliza Shukurani.