Kwa wenye ndoto ya kujenga ila budget ndogo mje tushauriane!

Kwa wenye ndoto ya kujenga ila budget ndogo mje tushauriane!

Ryzen

JF-Expert Member
Joined
Dec 6, 2012
Posts
7,301
Reaction score
8,706
Nimegundua ukitaka kujenga ukisubiri Pesa zijae hata kibanda hutajenga, Basi sasa mliojenga ama wenye malengo ya kujenga ila bajeti inabana tushauriane ni bidhaa zipi tuanze kununua mdogo mdogo ili kufanikisha ndoto ya kujenga.

Mfano Je ni wazo zuri kuanza kununua vitu vyenye gharama kubwa kidogo kidogo kama mbao, Rangi, Gypsum, bati, tiles, misumari n.k?

Tushauriane tufanikishe ndoto ya Kumiliki Mijengo yetu!!
 
Nimegundua ukitaka kujenga ukisubiri Pesa zijae hata kibanda hutajenga, Basi sasa mliojenga ama wenye malengo ya kujenga ila bajeti inabana tushauriane ni bidhaa zipi tuanze kununua mdogo mdogo ili kufanikisha ndoto ya kujenga.

Mfano Je ni wazo zuri kuanza kununua vitu vyenye gharama kubwa kidogo kidogo kama mbao, Rangi, Gypsum, bati, tiles, misumari n.k??

Tushauriane tufanikishe ndoto ya Kumiliki Mijengo yetu!!
Kwanza kiwanja,ukishanunua kiwanja peleka materials kidogo kidogo mf mawe,tofali,mchanga ,kokoto kwa ajili ya msingi huwezi kuanza kuweka hivyo ulivyo vitaja wakati bajeti yako ndogo unaweza usimalize boma

Sent from my Infinix X658E using JamiiForums mobile app
 
Kwanza kiwanja,ukishanunua kiwanja peleka materials kidogo kidogo mf mawe,tofali,mchanga ,kokoto kwa ajili ya msingi huwezi kuanza kuweka hivyo ulivyo vitaja wakati bajeti yako ndogo unaweza usimalize boma

Sent from my Infinix X658E using JamiiForums mobile app
Nina kiwanja mkuu, sehemu kiwanja kilipo kiwanja, Mawe na Mchanga na kokoto vinapatikana kwa gharama nafuu, ndio maana nikajaribu kuuliza kama ni idea nzuri kuanza kununua hivo nilivotaja!
 
Nimegundua ukitaka kujenga ukisubiri Pesa zijae hata kibanda hutajenga, Basi sasa mliojenga ama wenye malengo ya kujenga ila bajeti inabana tushauriane ni bidhaa zipi tuanze kununua mdogo mdogo ili kufanikisha ndoto ya kujenga.

Mfano Je ni wazo zuri kuanza kununua vitu vyenye gharama kubwa kidogo kidogo kama mbao, Rangi, Gypsum, bati, tiles, misumari n.k??

Tushauriane tufanikishe ndoto ya Kumiliki Mijengo yetu!!
Wekeza kupata kiwanja,wekeza kwenye tofali za kuanzia,kokoto,mawe au NONDO za kuanzia.wapo wafanyabishara waaminifu mfano tofali unawekeza kidogo kidogo,hata NONDO na cement unaanza lipia mdogo mdogo sehemu ya kuaminika,hatafu tafuta nguvu ya kuwezesha mafundi kuanza kazi kadiri ya ulivyojipanga.
 
Wekeza kupata kiwanja,wekeza kwenye tofali za kuanzia,kokoto,mawe au NONDO za kuanzia.wapo wafanyabishara waaminifu mfano tofali unawekeza kidogo kidogo,hata NONDO na cement unaanza lipia mdogo mdogo sehemu ya kuaminika,hatafu tafuta nguvu ya kuwezesha mafundi kuanza kazi kadiri ya ulivyojipanga.
Usijaribu,akifa usiku ghafla,utalia kilio cha mbwa
 
Secure kiwanja kwanza materials bei inapanda na kushuka ila nunua kiwanja kabisa kiwe tayar ...Then kujenga mdogomdogo
 
Kwenye tiles nunua mchina hata serikali wanatumia hizo kwenye majengo yao yote,usisumbuke na Spanish ni mbwembwe za kijinga
Mkuu nipe details kidogo tiles za mchina bei ikoje? na dimensions zake je!
 
Hapo hapo anza taratibu usiwe na haraka usijipunje hata kukosa hela ya kula jaribu kubalance taratibu ,angalia peter msechu kajenga nyumba kwa miaka mitano Tena nyumba ya ndoto yake .
Asante sana mkuu!
 
Unapewa risiti inasema bado kuchukua,copy inabaki ofisini moja ya kwako ya kufuata mzigo ukiwa tayari, biashara endelevu ni uaminifu na huduma bora.
I speak from experience,yalishanikuta,biashara zwtu nyingi zimesajiliwa ila zinaendeshwa kilocal sana,usitegemee kulipwa in case huyo mfanyabiashara kafa ghafla au kapata tatizo,nunua material peleka site,mabati tiles peleka nyumbani,kwanza material yakiwa site yanakupa wenge la kuanza ujenzi fasta,imagine site kuna tofali,mawe,mchanga,kokoto ,hata kama ni trip mbilimbili kuna fukuto la kuanza msingi litakuijia tu
 
Mfano Je ni wazo zuri kuanza kununua vitu vyenye gharama kubwa kidogo kidogo kama mbao, Rangi, Gypsum, bati, tiles, misumari n.k??
- Ndio Wazo zuri.

- Ila isiwe in terms of physical items, ili kuepuka risk zinzoweza kujitokeza.

- Bali iwe in terms of USD

- Kivipi in terms of usd?? Fanya hivi.
1. Fungua account maalum ya USD,
- Account hii ya USD ina sifa hizi a] Haina makato kwa muda wote utakao hifadhi fedha yako kwa USD, b] Iwapo umeweka US $100 kama mfano, ikifika wakati wa kutoa utatoa hiyo hiyo $100 bila makato. kwa exchange rate ya wakati huo.

2. Chukulia lengo ni kununua BATI, basi fahamu bati zitaghalimu TZS ngapi, Then tafuta hicho kiasi husika cha kununulia bati, then nenda kahifadhi kwenye account yako ya USD, Weka Tick kwenye BATi kwamba tayari umefanya manunuzi ya Bati.

3. Endelea hivyo hivyo kwa kila unachotaka kununua, hadi unakamilisha ujenzi wako.

Faida ya kutumia benki account. Ni hii
  • Hakuna kuhofia kuibiwa bati zako au
  • Hakuna kuhofia kuharika au kuharibiwa kwa items kama Gypsum nk
Haijarishi utachukuamuda gani kufikia lengo, ila hakika fedha yako/material zako za ujenzi, itakuwa salama.

Je ni benki ipi yenye USD account na haina makato yeyote unapoweka na unapotoa fedha yako. Nenda FNB Bank, na gungua USD account aitakayouwezesha ku_save fedha yako tu. Na utatoa mara moja kwa mkupuo. Fanya utafiti zipo benki zingine zitakuwa na account kama hii niliyotolea mfano.

Kila lakheri
 
Nimegundua ukitaka kujenga ukisubiri Pesa zijae hata kibanda hutajenga, Basi sasa mliojenga ama wenye malengo ya kujenga ila bajeti inabana tushauriane ni bidhaa zipi tuanze kununua mdogo mdogo ili kufanikisha ndoto ya kujenga.

Mfano Je ni wazo zuri kuanza kununua vitu vyenye gharama kubwa kidogo kidogo kama mbao, Rangi, Gypsum, bati, tiles, misumari n.k??

Tushauriane tufanikishe ndoto ya Kumiliki Mijengo yetu!!
Nasubiri maoni ya wadau maana na Mimi nataka kupata hizo nondo kwani nimejenga msingi tu hapa natafuta hela ya kusimamisha boma.
 
Back
Top Bottom