Mwl kwanini FNB na sio banc abc kwa account ya usd?Hivyo ni salama na ni faida zaidi kutumia hiyo account maalum ya USD kuhifadhi fedha yako.
- Fedha yako inapungua kutokananna makato ya kila mwezi.
- Kuna makato pindi unatoa hiyo fedha yako.
- Thamani ya shilingi huwa inapungua ukilinganisha na dola | US $
FNB - deposit utafanya hata kwa njia ya simu kwenye account yako ya TZS, then utatumia APP kuhamisha fedha toka TZS account na kwenda ile account yako ya USD | Hivyo haikuhitaji kufika benki kwa ajiri ya deposit. | Nina account kwao.Mwl kwanini FNB na sio banc abc kwa account ya usd?
FNB ilinunuliwa na Exim Bank haipo tena Tanzania.
Ahsante. Nimeona tayariFNB ilinunuliwa na Exim Bank haipo tena Tanzania.
https://www.thecitizen.co.tz/tanzania/news/business/exim-bank-completes-acquisition-of-fnb-tanzania-3883616
Hawa Exim bank nina card yao ya prepaid, ukishadeposit huchukua muda kureflect kwenye bank accountFNB ilinunuliwa na Exim Bank haipo tena Tanzania.
Usijaribu,akifa usiku ghafla,utalia kilio cha mbwa
Save itAmina sana mkuu, one day tutatokea kwenye mijengo yetu!
Nondo muhim.maan kwnwy ujenz kama kiwanja kipo ukiwa na hata mil 5.boma linainuka.unapumua tena ukiweka hela bat mbao ufund.grill mbao blandering pumbing electriacal plasta body skimming- Ndio Wazo zuri.
- Ila isiwe in terms of physical items, ili kuepuka risk zinzoweza kujitokeza.
- Bali iwe in terms of USD
- Kivipi in terms of usd?? Fanya hivi.
1. Fungua account maalum ya USD,
- Account hii ya USD ina sifa hizi a] Haina makato kwa muda wote utakao hifadhi fedha yako kwa USD, b] Iwapo umeweka US $100 kama mfano, ikifika wakati wa kutoa utatoa hiyo hiyo $100 bila makato. kwa exchange rate ya wakati huo.
2. Chukulia lengo ni kununua BATI, basi fahamu bati zitaghalimu TZS ngapi, Then tafuta hicho kiasi husika cha kununulia bati, then nenda kahifadhi kwenye account yako ya USD, Weka Tick kwenye BATi kwamba tayari umefanya manunuzi ya Bati.
3. Endelea hivyo hivyo kwa kila unachotaka kununua, hadi unakamilisha ujenzi wako.
Faida ya kutumia benki account. Ni hii
Haijarishi utachukuamuda gani kufikia lengo, ila hakika fedha yako/material zako za ujenzi, itakuwa salama.
- Hakuna kuhofia kuibiwa bati zako au
- Hakuna kuhofia kuharika au kuharibiwa kwa items kama Gypsum nk
Je ni benki ipi yenye USD account na haina makato yeyote unapoweka na unapotoa fedha yako. Nenda FNB Bank, na gungua USD account aitakayouwezesha ku_save fedha yako tu. Na utatoa mara moja kwa mkupuo. Fanya utafiti zipo benki zingine zitakuwa na account kama hii niliyotolea mfano.
Kila lakheri
Well- Ndio Wazo zuri.
- Ila isiwe in terms of physical items, ili kuepuka risk zinzoweza kujitokeza.
- Bali iwe in terms of USD
- Kivipi in terms of usd?? Fanya hivi.
1. Fungua account maalum ya USD,
- Account hii ya USD ina sifa hizi a] Haina makato kwa muda wote utakao hifadhi fedha yako kwa USD, b] Iwapo umeweka US $100 kama mfano, ikifika wakati wa kutoa utatoa hiyo hiyo $100 bila makato. kwa exchange rate ya wakati huo.
2. Chukulia lengo ni kununua BATI, basi fahamu bati zitaghalimu TZS ngapi, Then tafuta hicho kiasi husika cha kununulia bati, then nenda kahifadhi kwenye account yako ya USD, Weka Tick kwenye BATi kwamba tayari umefanya manunuzi ya Bati.
3. Endelea hivyo hivyo kwa kila unachotaka kununua, hadi unakamilisha ujenzi wako.
Faida ya kutumia benki account. Ni hii
Haijarishi utachukuamuda gani kufikia lengo, ila hakika fedha yako/material zako za ujenzi, itakuwa salama.
- Hakuna kuhofia kuibiwa bati zako au
- Hakuna kuhofia kuharika au kuharibiwa kwa items kama Gypsum nk
Je ni benki ipi yenye USD account na haina makato yeyote unapoweka na unapotoa fedha yako. Nenda FNB Bank, na gungua USD account aitakayouwezesha ku_save fedha yako tu. Na utatoa mara moja kwa mkupuo. Fanya utafiti zipo benki zingine zitakuwa na account kama hii niliyotolea mfano.
Kila lakheri
- Ndio Wazo zuri.
- Ila isiwe in terms of physical items, ili kuepuka risk zinzoweza kujitokeza.
- Bali iwe in terms of USD
- Kivipi in terms of usd?? Fanya hivi.
1. Fungua account maalum ya USD,
- Account hii ya USD ina sifa hizi a] Haina makato kwa muda wote utakao hifadhi fedha yako kwa USD, b] Iwapo umeweka US $100 kama mfano, ikifika wakati wa kutoa utatoa hiyo hiyo $100 bila makato. kwa exchange rate ya wakati huo.
2. Chukulia lengo ni kununua BATI, basi fahamu bati zitaghalimu TZS ngapi, Then tafuta hicho kiasi husika cha kununulia bati, then nenda kahifadhi kwenye account yako ya USD, Weka Tick kwenye BATi kwamba tayari umefanya manunuzi ya Bati.
3. Endelea hivyo hivyo kwa kila unachotaka kununua, hadi unakamilisha ujenzi wako.
Faida ya kutumia benki account. Ni hii
Haijarishi utachukuamuda gani kufikia lengo, ila hakika fedha yako/material zako za ujenzi, itakuwa salama.
- Hakuna kuhofia kuibiwa bati zako au
- Hakuna kuhofia kuharika au kuharibiwa kwa items kama Gypsum nk
Je ni benki ipi yenye USD account na haina makato yeyote unapoweka na unapotoa fedha yako. Nenda FNB Bank, na gungua USD account aitakayouwezesha ku_save fedha yako tu. Na utatoa mara moja kwa mkupuo. Fanya utafiti zipo benki zingine zitakuwa na account kama hii niliyotolea mfano.
Kila lakheri
Na biashara itakufa? Kikubwa maandish usitoe pesa bila maandish na lazima asign Kila ukilipia kitu chochoteMkuu unaogopa mfanyabiashara atakufa?