Kwa wenye nia ya kuwekeza na soko la hisa D.S.E

Kwa wenye nia ya kuwekeza na soko la hisa D.S.E

greater than

JF-Expert Member
Joined
Sep 22, 2018
Posts
1,653
Reaction score
3,060
Za asubuhi wananchi wenzangu na watafutaji wenzangu...
Leo nimeamua ku-share na ninyi Kikotoo changu changu nilichokiunda kwa kutumia Program ya Microsoft excel kwa ajili ya kunisaidia kudadavua taarifa za kifedha za makampuni yote ya ndani yaliyo orodheshwa kwenye soko la hisa la Dar.

Mimi si msomi wa uchumi, ila niliamua kujifunza baadhi ya vitu vya masuala ya soko la mitaji na kujua kwa namna gani nzuri naweza weka pesa kwenye Makampuni sahihi.

Taarifa zilizopo...
1. Makampuni ya ndani
2. Zinatokana na data za Financial statements za hayo makampuni.
3. Taarifa ni za kuanzia 2019 hadi 2022
4. Kuna baadhi ya makampuni hakuna taarifa,kwani hawakuchapisha statements
5. Nimejaribu kuonesha kampuni tano nzuri kwa kila mwaka

Kwasasa ndiyo nipo nachambua taarifa za mwaka wa fedha wa 2023,baadhi ya kampuni tayari zimeshachapisha...




PASSWORD NI : JAMII
 

Attachments

Mkuu just help, Kati ya DCB na CRDB nitie mzigo wapi?
Kabla ya kuwekeza unatakiwa ujue uelekeo na malengo ya kampuni etc
Ukiangalia DCB bei ya hisa zipo chini ni nzuri kuwekeza humo ila je malengo yake kuna uwezekano wa share zake kupanda huko mbeleni au kwenye huo uwekezaji wao kuna dalili ya kupata hata gawio mara moja kwa mwaka
 
Kweli kabisa mkuu maana naona DCB nao wanaenda vizuri. Shida ya CRDB kuna gawio ila value per share haipandi sana
Kabla ya kuwekeza unatakiwa ujue uelekeo na malengo ya kampuni etc
Ukiangalia DCB bei ya hisa zipo chini ni nzuri kuwekeza humo ila je malengo yake kuna uwezekano wa share zake kupanda huko mbeleni au kwenye huo uwekezaji wao kuna dalili ya kupata hata gawio mara moja kwa mwaka
 
Kweli kabisa mkuu maana naona DCB nao wanaenda vizuri. Shida ya CRDB kuna gawio ila value per share haipandi sana
CRDB mwaka jana watu walinunua hisa moja mpka 450 sahv zinacheza kwenye 500
Na mwaka huu gawio wametoa 50 per share si haba
 
Naomba kuuliza kama naweza kuuza Hisa zangu za JATU au walishafungiwa hadi DSE kuuza na kununua HISA?
 
Back
Top Bottom