Kwa wenye Uzoefu na Biashara ya Vituo vya Mafuta [Fuel Stations]

Kwa wenye Uzoefu na Biashara ya Vituo vya Mafuta [Fuel Stations]

Grahams

JF-Expert Member
Joined
Mar 19, 2016
Posts
16,096
Reaction score
49,651
Habari za Muda huu Wakuu!

Kadri Umri unavyosogea, na majukumu yanapoongezeka ndivyo tunavyozidi kutafuta namna mpya ya kuwekeza ili kupata Uhuru wa Kiuchumi (Financial Freedom) kuelekea kwenye Umri wa Uzee.

Kwa muda mrefu nimekuwa nawiwa kufanya uwekezaji kupitia kujenga na kumiliki Kituo cha Mafuta (Fuel station ).
Nia ninayo, ila wasiwasi wangu ni kwenye mtaji halisi unaohitajika kufanikisha uwekezaji huu.

Binafsi nina milioni 50 ambazo nadhani naweza kuzitumia kwenye shughuli za awali ikiwemo Ujenzi n.k

Nina kiwanja nimenunua mahali ekari 5, na ni barabarani (Barabara ya Dsm - Mbeya).

Kwa kuwa mtaji wenyewe hautoshi, nafikiria kukopa Benki na kuweka dhamana Lodge yangu ya vyumba 8 niliyonayo.

Kuhusu vile vibali vya Nemc na Ewura, nina connection kule ya jamaa tunaofahamiana, kwahiyo nahisi nitatumia gharama kidogo kufacilitate mchakato.

Kutokana na ufinyu wa mtaji, nafikiria kujenga pump station 3 mbili za Petrol na Moja ya Dizeli. Pia ili kuongeza Wigo wa biashara, napanga kufunga compressor kwaajili ya upepo pia kujenga kibanda kwaajili ya kuosha magari (car wash).

Nitaanza na matenki ya kutunza mafuta ya ukubwa wa lita 10,000 kwa petrol na lita 5,000 dizeli.

Kwa kuwa ndiyo naanza biashara nitatumia magari ya kukodi kuniletea mafuta.

Ili kupata kujua gharama halisi za uendeshaji nitatenga shilingi milioni 15 kwaajili ya mishahara (ya miezi 8) ya pump attendants 5, mlinzi na Cashier ambaye nafikiria atafanya na kazi ya uwakala hapo hapo.

Karibuni kwa michango yenu ya mawazo ili kuboresha biashara hii, na pengine kunishauri kuachana na wazo hili la biashara kabla sijatumbukiza hela zangu.

Natanguliza shukrani za dhati 🙏🙏
 
em njoo tuombe kazi kwanza hapa Lenie

Me keshia nimewahi
Hapo naona 15m kwa staff 7 per month ni around 250k
Huko Mbeya nasikia mchele kilo buku, chips sahani mia 3. Kwa 250k tunaishi fresh.

We Lenie utakuwa Mlinzi, kupima mafuta hujui
Kwahiyo umeona shida kunipa mbinu za hii biashara pamoja na kuwa mmewahi kumiliki na kufanya hii biashara kwa ufanisi miaka ile ya 2014😄
 
Kwanini uachane nalo? Na ni business plan umeitunzia M50?

au ni chai??
Kama unahisi unapotaka kuwekeza pesa hairudi kwanini uchukue risk kuwekeza.

Hapo utakuwa unapoteza hela Mkuu
 
Habari za Muda huu Wakuu!

Kadri Umri unavyosogea, na majukumu yanapoongezeka ndivyo tunavyozidi kutafuta namna mpya ya kuwekeza ili kupata Uhuru wa Kiuchumi (Financial Freedom) kuelekea kwenye Umri wa Uzee.

Kwa muda mrefu nimekuwa nawiwa kufanya uwekezaji kupitia kujenga na kumiliki Kituo cha Mafuta (Fuel station ).
Nia ninayo, ila wasiwasi wangu ni kwenye mtaji halisi unaohitajika kufanikisha uwekezaji huu.

Binafsi nina milioni 50 ambazo nadhani naweza kuzitumia kwenye shughuli za awali ikiwemo Ujenzi n.k

Nina kiwanja nimenunua mahali ekari 5, na ni barabarani (Barabara ya Dsm - Mbeya).

Kwa kuwa mtaji wenyewe hautoshi, nafikiria kukopa Benki na kuweka dhamana Lodge yangu ya vyumba 8 niliyonayo.

Kuhusu vile vibali vya Nemc na Ewura, nina connection kule ya jamaa tunaofahamiana, kwahiyo nahisi nitatumia gharama kidogo kufacilitate mchakato.

Kutokana na ufinyu wa mtaji, nafikiria kujenga pump station 3 mbili za Petrol na Moja ya Dizeli. Pia ili kuongeza Wigo wa biashara, napanga kufunga compressor kwaajili ya upepo pia kujenga kibanda kwaajili ya kuosha magari (car wash).

Nitaanza na matenki ya kutunza mafuta ya ukubwa wa lita 10,000 kwa petrol na lita 5,000 dizeli.

Kwa kuwa ndiyo naanza biashara nitatumia magari ya kukodi kuniletea mafuta.

Ili kupata kujua gharama halisi za uendeshaji nitatenga shilingi milioni 15 kwaajili ya mishahara (ya miezi 8) ya pump attendants 5, mlinzi na Cashier ambaye nafikiria atafanya na kazi ya uwakala hapo hapo.

Karibuni kwa michango yenu ya mawazo ili kuboresha biashara hii, na pengine kunishauri kuachana na wazo hili la biashara kabla sijatumbukiza hela zangu.

Natanguliza shukrani za dhati [emoji120][emoji120]
I have some experience ktk hio biashara nimefanya ktk petrol station kwa muda nimepata kufahamu biashara hii .
1. kitu cha kwanza sikushauri utengeneze storage tank ndogo kwa sababu tofauti tofauti umesema unaanza biashara kwa gari ya kukodi ni sawa unatakiwa uangalie namna ambavo utaongeza tija zaidi kwa mfano kama utakodi kipisi kufanyia delivery mind vipisi Vingi ni approximately 22000ltr sasa in case ukaagiza 10000ltrs za PMS na 5000 kulingana na storage facilities kibiashara unatakiwa uagize litre 1500 tu sasa hio space unayotaka kuicha huoni kama itakuongezea gharama za usafiri ?
2.ukijenga storage tanks za 10000 Ltrs kwa PMS(petrol) na 5000ltr kwa ajili ya PMS bado itafikia wakati itabidi uongeze ili kupunguza gharama na kuchukua faida zile za ghafla kulingana na trend ya biashara
 
I have some experience ktk hio biashara nimefanya ktk petrol station kwa muda nimepata kufahamu biashara hii .
1. kitu cha kwanza sikushauri utengeneze storage tank ndogo kwa sababu tofauti tofauti umesema unaanza biashara kwa gari ya kukodi ni sawa unatakiwa uangalie namna ambavo utaongeza tija zaidi kwa mfano kama utakodi kipisi kufanyia delivery mind vipisi Vingi ni approximately 22000ltr sasa in case ukaagiza 10000ltrs za PMS na 5000 kulingana na storage facilities kibiashara unatakiwa uagize litre 1500 tu sasa hio space unayotaka kuicha huoni kama itakuongezea gharama za usafiri ?
2.ukijenga storage tanks za 10000 Ltrs kwa PMS(petrol) na 5000ltr kwa ajili ya PMS bado itafikia wakati itabidi uongeze ili kupunguza gharama na kuchukua faida zile za ghafla kulingana na trend ya biashara
Mkuu, kuna kitu unakijua zaidi ya ulichoandika, ongezea ongea maneno
 
Ni biashara nzuri kwa sehemu nzuri, ukipata watu wa tender wazuri.

Kama umewahi kuifanya kuna vitu utakuwa unavijua vizuri.

Kuwa makini na chuma ulete maana Sheli ndio sehemu ambayo watu huomba chenji bila shida.

Kila la kheri.
 
Mil 50 haitoshi na benk hawezi kukupa ela ya kujenga kituo kwa dhamana ya lodge maana kituo size unayotaka roughly lazima uwekeze mil 300 mpaka 350 hapo bila mafuta. Mfumo wa mafuta peke yake yaani canopy, matenk, pump tatu ,stand by generator, VFD system na zege la canopy kwa haraka lazima vile mil 200. Majengo ya iyo filling station na vibali lazima vikule mil 150 to mil 200. Pambana
 
Habari za Muda huu Wakuu!

Kadri Umri unavyosogea, na majukumu yanapoongezeka ndivyo tunavyozidi kutafuta namna mpya ya kuwekeza ili kupata Uhuru wa Kiuchumi (Financial Freedom) kuelekea kwenye Umri wa Uzee.

Kwa muda mrefu nimekuwa nawiwa kufanya uwekezaji kupitia kujenga na kumiliki Kituo cha Mafuta (Fuel station ).
Nia ninayo, ila wasiwasi wangu ni kwenye mtaji halisi unaohitajika kufanikisha uwekezaji huu.

Binafsi nina milioni 50 ambazo nadhani naweza kuzitumia kwenye shughuli za awali ikiwemo Ujenzi n.k

Nina kiwanja nimenunua mahali ekari 5, na ni barabarani (Barabara ya Dsm - Mbeya).

Kwa kuwa mtaji wenyewe hautoshi, nafikiria kukopa Benki na kuweka dhamana Lodge yangu ya vyumba 8 niliyonayo.

Kuhusu vile vibali vya Nemc na Ewura, nina connection kule ya jamaa tunaofahamiana, kwahiyo nahisi nitatumia gharama kidogo kufacilitate mchakato.

Kutokana na ufinyu wa mtaji, nafikiria kujenga pump station 3 mbili za Petrol na Moja ya Dizeli. Pia ili kuongeza Wigo wa biashara, napanga kufunga compressor kwaajili ya upepo pia kujenga kibanda kwaajili ya kuosha magari (car wash).

Nitaanza na matenki ya kutunza mafuta ya ukubwa wa lita 10,000 kwa petrol na lita 5,000 dizeli.

Kwa kuwa ndiyo naanza biashara nitatumia magari ya kukodi kuniletea mafuta.

Ili kupata kujua gharama halisi za uendeshaji nitatenga shilingi milioni 15 kwaajili ya mishahara (ya miezi 8) ya pump attendants 5, mlinzi na Cashier ambaye nafikiria atafanya na kazi ya uwakala hapo hapo.

Karibuni kwa michango yenu ya mawazo ili kuboresha biashara hii, na pengine kunishauri kuachana na wazo hili la biashara kabla sijatumbukiza hela zangu.

Natanguliza shukrani za dhati [emoji120][emoji120]
Mimi kwa ushauri wangu tafuta fundi mzuri akufanyie construction cost quotation ya filling yenye canopy ndogo ya pump mbili storage tanks mbili 25000Ltr ya PMS na 25000 au 22000Ltrs za AGO then suka effective storage tanks zako hakikisha haina leakage tafuta pump za kichina mbili kwa budget yako ukiwa mjanja 50 mil inaweza ikafilisha even 45% ya mradi wako kuukamilisha utahitaji mtaji mwingine kwa sababu kuna gharama nyingi nyingi zinazochukua muda mfano kupata some license mambo ya ajira kiushauri umebuni mradi mzuri sana lakin kulingana na muda na technology kama unataka uwekeze ktk nishati basi jitahidi kufanya proper investment na strategy mpya ili uwe salama sokoni hongera sana kaka
 
Back
Top Bottom