Mpekuzi Tanzania
JF-Expert Member
- Mar 11, 2018
- 650
- 1,016
0719357919
Fundi Canopy na Matenk. Ukiwa serious mtafute huyo fundi atakusaidia ni Mzuri na mwaminifu. Matenk usipopata fundi mzuri yakawa na vilinkage yatakupa hasara sana kuvuja mafuta na hutaona kwa kuwa yatakuwa yamefukiwa. Sasa kwa kuwa Fedha bado ya kuunga unga Anza kutengeneza matenk huku ukijenga Ofisi mdogo mdogo maana Ofisi haiitaji Fedha nyingi kwa wakati mmoja
Fundi Canopy na Matenk. Ukiwa serious mtafute huyo fundi atakusaidia ni Mzuri na mwaminifu. Matenk usipopata fundi mzuri yakawa na vilinkage yatakupa hasara sana kuvuja mafuta na hutaona kwa kuwa yatakuwa yamefukiwa. Sasa kwa kuwa Fedha bado ya kuunga unga Anza kutengeneza matenk huku ukijenga Ofisi mdogo mdogo maana Ofisi haiitaji Fedha nyingi kwa wakati mmoja