Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😀😀 Ok boss nisaidie kutofautisha hizo mbili,I'm always eager to learnYou know nothing Jon Snow.
Ishu ni kujengaKumbe itakaa vizuri
mawazo mazuri ila kwaushauri njoo pm mkuu hutajutaHabari za Muda huu Wakuu!
Kadri Umri unavyosogea, na majukumu yanapoongezeka ndivyo tunavyozidi kutafuta namna mpya ya kuwekeza ili kupata Uhuru wa Kiuchumi (Financial Freedom) kuelekea kwenye Umri wa Uzee.
Kwa muda mrefu nimekuwa nawiwa kufanya uwekezaji kupitia kujenga na kumiliki Kituo cha Mafuta (Fuel station ).
Nia ninayo, ila wasiwasi wangu ni kwenye mtaji halisi unaohitajika kufanikisha uwekezaji huu.
Binafsi nina milioni 50 ambazo nadhani naweza kuzitumia kwenye shughuli za awali ikiwemo Ujenzi n.k
Nina kiwanja nimenunua mahali ekari 5, na ni barabarani (Barabara ya Dsm - Mbeya).
Kwa kuwa mtaji wenyewe hautoshi, nafikiria kukopa Benki na kuweka dhamana Lodge yangu ya vyumba 8 niliyonayo.
Kuhusu vile vibali vya Nemc na Ewura, nina connection kule ya jamaa tunaofahamiana, kwahiyo nahisi nitatumia gharama kidogo kufacilitate mchakato.
Kutokana na ufinyu wa mtaji, nafikiria kujenga pump station 3 mbili za Petrol na Moja ya Dizeli. Pia ili kuongeza Wigo wa biashara, napanga kufunga compressor kwaajili ya upepo pia kujenga kibanda kwaajili ya kuosha magari (car wash).
Nitaanza na matenki ya kutunza mafuta ya ukubwa wa lita 10,000 kwa petrol na lita 5,000 dizeli.
Kwa kuwa ndiyo naanza biashara nitatumia magari ya kukodi kuniletea mafuta.
Ili kupata kujua gharama halisi za uendeshaji nitatenga shilingi milioni 15 kwaajili ya mishahara (ya miezi 8) ya pump attendants 5, mlinzi na Cashier ambaye nafikiria atafanya na kazi ya uwakala hapo hapo.
Karibuni kwa michango yenu ya mawazo ili kuboresha biashara hii, na pengine kunishauri kuachana na wazo hili la biashara kabla sijatumbukiza hela zangu.
Natanguliza shukrani za dhati [emoji120][emoji120]
I'm not your boss nor am I your teacher. Seek knowledge nigga acha kukariri.😀😀 Ok boss nisaidie kutofautisha hizo mbili,I'm always eager to learn
Yes ni big investment kwa bongo coz it's a big asset,can be used as collateral hata mkopo wa 300M+Nikijipanga vizuri naweza kumudu hata kama itachukua miaka 2.
Uzuri wake nita hire mafundi tu, muhimu wawe wazoefu
😀😀 you're so cheap as I thoughtI'm not your boss nor am I your teacher. Seek knowledge nigga acha kukariri.
Nenda pm ukapewe madini ya uvunguniKuna wengi wangependa kujifunza iwapo utaandika hapa public.
Vipi wewe ni mtaalam mshauri Mkuu?
Biatch, economic freedom ain't the same thing as financial freedom or financial independence biatch.😀😀 you're so cheap as I thought
I know Ila nilitaka kujua how you differentiate them in your own simple financial wordsBiatch, economic freedom ain't the same thing as financial freedom or financial independence biatch.
mimi nimtaalamu na fundi lkn pia nimefanya umeneja so najua kila kitu kuhusu mafuta na pump pia nazitengezezaKuna wengi wangependa kujifunza iwapo utaandika hapa public.
Vipi wewe ni mtaalam mshauri Mkuu?
mawazo mazuri ila kwaushauri njoo pm mkuu hutajuta