Kwa wenye Uzoefu na Biashara ya Vituo vya Mafuta [Fuel Stations]

Kwa wenye Uzoefu na Biashara ya Vituo vya Mafuta [Fuel Stations]

Wengi waliofanikiwa hawapendagi kuweka mambo hadharani
Kwa ishu kama hii wanakua wachoyo tu.
Maana hatujuani vzur lakn tukifanya hesabu ndogo, je 50% ya watu walioko JF wana mitaji mikubwa kias hiki?
Also, kila kona kuna vituo na wote wanapata faida, hakuna monopoly kama ilivo tanesco, so shida iko wap wakitema madini?
Kwa mfano huyu jamaa akifanikiwa kufungua kituo chake, kwan atakula faida ya mwingine?
Wabongo sisi wabinafsi sana sometimes
 
Kwa ishu kama hii wanakua wachoyo tu.
Maana hatujuani vzur lakn tukifanya hesabu ndogo, je 50% ya watu walioko JF wana mitaji mikubwa kias hiki?
Also, kila kona kuna vituo na wote wanapata faida, hakuna monopoly kama ilivo tanesco, so shida iko wap wakitema madini?
Kwa mfano huyu jamaa akifanikiwa kufungua kituo chake, kwan atakula faida ya mwingine?
Wabongo sisi wabinafsi sana sometimes
so far biashara ya mafuta sio monopoly in oligopoly kwenye hii biashara kuna ewura ambao hupanga bei ya ukomo kwa wauuzaji wakubwa na ma retailer meanwhile monopoly bei anaipanga yeye monopoly
 
Kwa ishu kama hii wanakua wachoyo tu.
Maana hatujuani vzur lakn tukifanya hesabu ndogo, je 50% ya watu walioko JF wana mitaji mikubwa kias hiki?
Also, kila kona kuna vituo na wote wanapata faida, hakuna monopoly kama ilivo tanesco, so shida iko wap wakitema madini?
Kwa mfano huyu jamaa akifanikiwa kufungua kituo chake, kwan atakula faida ya mwingine?
Wabongo sisi wabinafsi sana sometimes
kwa nyoongeza tu hakuna hela rahisi broo nao wanakabiliwa na ushindani ukiangalia wanauza bidhaa tofauti tofaouti though ni hio hio dizel na ni hio hio petrol lakn zimetofautiana ubora mafuta wanayouza total,puma,Bp na gapco sio sawa na mafuta ya wauzaji wengine ingawa yote ni mafuta hapo nakuelekeza kwamba sio monopoly.yaani ni kama mapishi mwengine ataweka Nazi mwingine hataweka
 
Kitu kinachongeza gharama kwenye petrol station ni mahengo ya ziada na kiwanja otherwise ukiwa na 100M unajenga vizuri tuu
Mil 100 humalizi Kituo hata kama una kiwanja ndugu yangu. Vibali tuu kuanzia building permit, andiko la nemc, certificate ya nemc, construction approval, OSHA, wakala wa vipimo, calibration, CRB, fire, halmashauri, roughly hapo mil 20 inaenda kwenye ivyo vibali. Tenk Mbili za Lita elfu 25 lazima zikule mil 28, canopy ndogo lazima ilaze mil 30 pamoja na Ufundi na hapo upate fundi mwaminifu, pump Moja ya Bei chee mil 12 yenye two product ivyo pump Mbili mil 25 pamoja na usafiri, stand by jenereta KVA 20 mil 23 mpk 28, Mfumo wa tra VFD mil 9, zege la chini kwenye canopy tuu mil 6, bango la Bei the cheapest mil 4 Bado wiring na vifaa vya Umeme na mataa. Nakupa uzoefu nimetoka kwenye Ujenzi Mwezi mmoja uliopita tuuna nimetumia force account, mkandarasi alitaka kunilaza juani na nakupa ushauri mkandarasi atakufanya ukitelekeze kabla hakijaisha maana ela itapukutika kama maji
 
Mbna wataalam wengi humu ndani hawataki kuweka madini hadharani?
Piemu piemu ya nini?
Share here kila mtu apate chochote
1.biashara ya mafuta ni nini?
2.bidhaa gani zinahusika katk biashara
3.unazifahamu kwa kiasi gani kuhusu hizo biashara hapa unatakiwa ujifunze japo kwa udogo bidhaa inazalishwa vip mzunguko wake mpaka inaitwa bidhaa
3.ujue njia angalau wanazotumia kutengeneza hio bidhaa
4.sasa ukijua hilo la juu inabidi ujiulize kwa umakin unaweza kuitengeneza
5.kama unaweza kuitengeneza basi jikite katika utengenezaji koz utapata faida kubwa zaidi na kama umeshindwa kuitengeneza utaipata vip sasa ? hapo unatakiwa upate njia rahisi ya kuipata
6.Ndio umepata njia ya kuipata basi jifunze namna gani unaifanya hii biashara hapa unatumia muda mwingi sana
7.unaangalia namna gani upate soko la uhakika
8.hapo unaweza kuanza kutendea kazi mradi wako.
Ukweli ni mchungu in biashara nzuri lakin kwa watu wanaojifunza kila Siku koz mifumo inabadilika technolojia zinabadilika
 
Mil 100 humalizi Kituo hata kama una kiwanja ndugu yangu. Vibali tuu kuanzia building permit, andiko la nemc, certificate ya nemc, construction approval, OSHA, wakala wa vipimo, calibration, CRB, fire, halmashauri, roughly hapo mil 20 inaenda kwenye ivyo vibali. Tenk Mbili za Lita elfu 25 lazima zikule mil 28, canopy ndogo lazima ilaze mil 30 pamoja na Ufundi na hapo upate fundi mwaminifu, pump Moja ya Bei chee mil 12 yenye two product ivyo pump Mbili mil 25 pamoja na usafiri, stand by jenereta KVA 20 mil 23 mpk 28, Mfumo wa tra VFD mil 9, zege la chini kwenye canopy tuu mil 6, bango la Bei the cheapest mil 4 Bado wiring na vifaa vya Umeme na mataa. Nakupa uzoefu nimetoka kwenye Ujenzi Mwezi mmoja uliopita tuuna nimetumia force account, mkandarasi alitaka kunilaza juani na nakupa ushauri mkandarasi atakufanya ukitelekeze kabla hakijaisha maana ela itapukutika kama maji
Duh

Mkuu unanivunja moyo boss
 
Kwa ishu kama hii wanakua wachoyo tu.
Maana hatujuani vzur lakn tukifanya hesabu ndogo, je 50% ya watu walioko JF wana mitaji mikubwa kias hiki?
Also, kila kona kuna vituo na wote wanapata faida, hakuna monopoly kama ilivo tanesco, so shida iko wap wakitema madini?
Kwa mfano huyu jamaa akifanikiwa kufungua kituo chake, kwan atakula faida ya mwingine?
Wabongo sisi wabinafsi sana sometimes
Umeongea sahihi sana mkuu

Wengi wetu tuna roho ya Kwanini, hawajui nikifanikiwa nitaweza kuajiri, kulipa kodi, kusogeza huduma jirani n.k
 
1.biashara ya mafuta ni nini?
2.bidhaa gani zinahusika katk biashara
3.unazifahamu kwa kiasi gani kuhusu hizo biashara hapa unatakiwa ujifunze japo kwa udogo bidhaa inazalishwa vip mzunguko wake mpaka inaitwa bidhaa
3.ujue njia angalau wanazotumia kutengeneza hio bidhaa
4.sasa ukijua hilo la juu inabidi ujiulize kwa umakin unaweza kuitengeneza
5.kama unaweza kuitengeneza basi jikite katika utengenezaji koz utapata faida kubwa zaidi na kama umeshindwa kuitengeneza utaipata vip sasa ? hapo unatakiwa upate njia rahisi ya kuipata
6.Ndio umepata njia ya kuipata basi jifunze namna gani unaifanya hii biashara hapa unatumia muda mwingi sana
7.unaangalia namna gani upate soko la uhakika
8.hapo unaweza kuanza kutendea kazi mradi wako.
Ukweli ni mchungu in biashara nzuri lakin kwa watu wanaojifunza kila Siku koz mifumo inabadilika technolojia zinabadilika
Hakuna biashara ambayo unaweza kuanza bila kuwa na misukosuko.

Wakati nimeanza biashara ya nyumba ya kulala wageni ilikuwa na changamoto Lukuki lakini baadaye nikawa napokea maoni na kujifunza.

Huezi amini kwasasa mtu anapiga simu kuomba kuwekewa chumba siku 3 au mbili kabla.
 
Shukrani Chief

Eneo ninalo la kutosha, ekari 5 ni approximately mita za mraba 24,000 kwahiyo linatosha kabisa.

Hofu yangu ilikuwa kwenye huo mtaji na namna hiyo biashara kama ni practical au inaweza kunipotezea hela yangu.

Kama kuna supplies wanaweza kunikopesha mzigo then nikarejesha hela baada ya mauzo kumbe naweza kufanikisha lengo
Hoja sio kuwa na ekari 5, hoja ni eneo lipo maeneo gani na linaweza kufaa hiyo biashara? Maana kila mmoja humu anaweza kuwa na eneo popote pale, ila haimaanishi kuwa kila eneo litafaa.

Kama una ekari 5 sehemu ambayo ni hotcake, basi hauwezi kuteseka juu ya mtaji.
 
Hoja sio kuwa na ekari 5, hoja ni eneo lipo maeneo gani na linaweza kufaa hiyo biashara? Maana kila mmoja humu anaweza kuwa na eneo popote pale, ila haimaanishi kuwa kila eneo litafaa.

Kama una ekari 5 sehemu ambayo ni hotcake, basi hauwezi kuteseka juu ya mtaji.
Ni shihihi mkuu ila eneo langu lipo barabarani kabisa, Barabara ya Dsm - Mbeya.
 
Habari za Muda huu Wakuu!

Kadri Umri unavyosogea, na majukumu yanapoongezeka ndivyo tunavyozidi kutafuta namna mpya ya kuwekeza ili kupata Uhuru wa Kiuchumi (Financial Freedom) kuelekea kwenye Umri wa Uzee.

Kwa muda mrefu nimekuwa nawiwa kufanya uwekezaji kupitia kujenga na kumiliki Kituo cha Mafuta (Fuel station ).
Nia ninayo, ila wasiwasi wangu ni kwenye mtaji halisi unaohitajika kufanikisha uwekezaji huu.

Binafsi nina milioni 50 ambazo nadhani naweza kuzitumia kwenye shughuli za awali ikiwemo Ujenzi n.k

Nina kiwanja nimenunua mahali ekari 5, na ni barabarani (Barabara ya Dsm - Mbeya).

Kwa kuwa mtaji wenyewe hautoshi, nafikiria kukopa Benki na kuweka dhamana Lodge yangu ya vyumba 8 niliyonayo.

Kuhusu vile vibali vya Nemc na Ewura, nina connection kule ya jamaa tunaofahamiana, kwahiyo nahisi nitatumia gharama kidogo kufacilitate mchakato.

Kutokana na ufinyu wa mtaji, nafikiria kujenga pump station 3 mbili za Petrol na Moja ya Dizeli. Pia ili kuongeza Wigo wa biashara, napanga kufunga compressor kwaajili ya upepo pia kujenga kibanda kwaajili ya kuosha magari (car wash).

Nitaanza na matenki ya kutunza mafuta ya ukubwa wa lita 10,000 kwa petrol na lita 5,000 dizeli.

Kwa kuwa ndiyo naanza biashara nitatumia magari ya kukodi kuniletea mafuta.

Ili kupata kujua gharama halisi za uendeshaji nitatenga shilingi milioni 15 kwaajili ya mishahara (ya miezi 8) ya pump attendants 5, mlinzi na Cashier ambaye nafikiria atafanya na kazi ya uwakala hapo hapo.

Karibuni kwa michango yenu ya mawazo ili kuboresha biashara hii, na pengine kunishauri kuachana na wazo hili la biashara kabla sijatumbukiza hela zangu.

Natanguliza shukrani za dhati [emoji120][emoji120]
Ni wazo zuri sana na nakupongeza ila ukiweza anza na oil chafu.. Hii mtaji ni mdogo faida ni kubwa na uwekezaji wake sio complicated
 
Back
Top Bottom