Kwa wenye uzoefu na hizi gari ndogo. Hili swali watu wameshindwa kujibu

Mm nilifanya safari kutoka Dar to mbeya IST 1290 cc mwezi January Mwaka huu na nilibeba Watu 4...kipindi hicho mafuta yanacheza 3000-3200 kwa lita..nilitumia mafuta ya 150000...gari ilikuwa ilitumia wastan wa kilometa 17 per lita
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…