Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
unasahau za kumpikia mumeo hizo hutuambii wala za mawifi zako rekebisha scriptI have no idea what is next!!
unatuhadithia mambo kwa polepole mno hutuhadthii unavyoishi na mawifi, unavyompikia mumeo hata mnavyolala kwa sababu umeamua kutupa episode za maish yako mimi nimeona nikuongezee vipande katika script yakoSijakuelewa.
ukimtimua tafuta mwenye umri mkubwa kidogoAhhh!! I can't entartain none sense nitamfyekelea mbali!
Siishi na ma wifi am sorry...Wana miji Yao.unatuhadithia mambo kwa polepole mno hutuhadthii unavyoishi na mawifi, unavyompikia mumeo hata mnavyolala kwa sababu umeamua kutupa episode za maish yako mimi nimeona nikuongezee vipande katika script yako
kwan kuishi nao had uamke nao nyumba moja?Siishi na ma wifi am sorry...Wana miji Yao.
Ni balaa kwa kweliMbona huyu wangu haoni mazuri yangu? Yani hata wiki haijatimia keshaanza kunichanganya akili.
Kumkosoa kidogo tu ikiwa ni katika namna ya kumuelekeza analia nusu saa!
Niishi nae vipi huyu dada cha kununa nuna!!!?