Kwa wenye wasaidizi wa kazi majumbani (house girl), mnaishi nao vipi?

Kwa wenye wasaidizi wa kazi majumbani (house girl), mnaishi nao vipi?

Jirani nimerudi jamani,. Naacha nimekosa mimi nimekosa sana😔😔
Hivi nimeingia kwaajili yako, nikasema ngoja nimcheck jirani km ban imeisha j3 tuanze ile issue.!!
Nimefurahi kukuona umerudi, watu wengine wapuuze jirani yangu.!!
Nimekutumia pm kila
 
Mbona huyu wangu haoni mazuri yangu? Yani hata wiki haijatimia keshaanza kunichanganya akili.
Kumkosoa kidogo tu ikiwa ni katika namna ya kumuelekeza analia nusu saa! Anaona anaonewa!!
Niishi nae vipi huyu dada cha kununa nuna!!!?
Nilishtuka maana madai haya nimetakuta kwngu leo. Wife kaleta dada wa kazi hatamwezi bado ila tabia ndio hizihizi[emoji16]
 
Nilishtuka maana madai haya nimetakuta kwngu leo. Wife kaleta dada wa kazi hatamwezi bado ila tabia ndio hizihizi[emoji16]
Sjui hata Wana shida gani Hawa viumbe... haoni mema yani
 
Back
Top Bottom