peni yangu maisha yangu
Member
- Apr 20, 2024
- 56
- 117
Wakuu habari .
Mimi ni kijana wa kiume
Umri miaka 24
Kwa sasa naishi Tanga (Lushoto)
Nipo hapa kuomba nafasi ya Kazi au ajira katika maeneo yafuatayo.
Elimu yangu ni shahada ya elimu kufundisha kiswahili na kiingereza.
Hivyo natafuta Kazi zifuatazo.
Kufundisha Kama Mwalimu kuanzia primary level hadi secondary level.
Naweza kuwa patron wa shule , Kwa kusimamia malezi n.k
Na pia nina ujuzi wa kutumia computer hivyo Kazi za stationery naweza kuzimudu.
Pia na Kazi nyingine ambazo ni za kufundishika.
Kuhusu Mimi
Mwaminifu
Mchapa Kazi
Na mtu wa kutoa matokeo Kwa wakati.
Wenyeji wa Tanga na mikoa mingine msisite kunipigi simu
Call: +255 679 006 384
Asanteni.🙏🏽
Mimi ni kijana wa kiume
Umri miaka 24
Kwa sasa naishi Tanga (Lushoto)
Nipo hapa kuomba nafasi ya Kazi au ajira katika maeneo yafuatayo.
Elimu yangu ni shahada ya elimu kufundisha kiswahili na kiingereza.
Hivyo natafuta Kazi zifuatazo.
Kufundisha Kama Mwalimu kuanzia primary level hadi secondary level.
Naweza kuwa patron wa shule , Kwa kusimamia malezi n.k
Na pia nina ujuzi wa kutumia computer hivyo Kazi za stationery naweza kuzimudu.
Pia na Kazi nyingine ambazo ni za kufundishika.
Kuhusu Mimi
Mwaminifu
Mchapa Kazi
Na mtu wa kutoa matokeo Kwa wakati.
Wenyeji wa Tanga na mikoa mingine msisite kunipigi simu
Call: +255 679 006 384
Asanteni.🙏🏽