Kwa wingu lililopo angani sasa na hii mvua inayokuja Yanga mkipona nitatekeleza hili!!

Kwa wingu lililopo angani sasa na hii mvua inayokuja Yanga mkipona nitatekeleza hili!!

Kwa hali ya hewa iliyopo sasa angani na mvua inayonyesha sasa jijini Dar hakyanani Yanga FC leo mkitoka salama Uwanja wa Taifa naufyeka ( naukata ) kabisa Uume wangu na nitajua mwenyewe nitakuwa nakojolea kupitia wapi.

Leo Yanga ndiyo mtajua kuwa Simba SC hatukuenda Zanzibar kupoteza muda na Kafara tulilolifanya na Uchawi tulioutumia leo huko Jangwani mtatafutana na kuna uwezekano hata mkauwana wenyewe kwa wenyewe pale Taifa kwa kipigo Kitakatifu, cha Mbwa mwizi na cha Kishalubela.

Wana Simba SC wenzangu nendeni Uwanjani mkiwa kifua mbele kabisa kwani mechi tumeshaimaliza na jana usiku hadi tunalala zilikuwa goli 3 ila tumeamka asubuhi hii wamepunguza Goli 1 tu na haya Magoli 2 yameshindikana na wamepewa Sharti kuwa wakitaka hayo yote 2 yafutike basi Viongozi wao wa juu mmoja wapo ajitoe Mhanga afe na wote wamechomoa ( wamekataa na kuogopa ).

Kuna Goli 2 Simba SC anashinda ila kuna Kadi Nyekundu 2 pia kwa Simba na kwa Yanga.

Yanga FC poleni sana na leo tutawaokota wengi sana pale Taifa kwa Kuzimia na tunategemea kupata taarifa nyingi tu kutoka sehemu mbalimbali kuwa Mashabiki wa Yanga wamepoteza maisha baada ya kupata Kichapo kutoka kwa Mnyama Mnyamani Simba Sports Club.
Bado una msimamo wako?
 
Pamoja figisu figisu zenu mliomfanyia mwenyekiti wetu kupitia kwa wanachama wenu siro na makonda leo wamatopeni tutawatandika 3 kwa beseni ili mwende mkapoteane kabisaa
Tayari 1, bado zingine 2 kipindi cha 2
 
Kwa hali ya hewa iliyopo sasa angani na mvua inayonyesha sasa jijini Dar hakyanani Yanga FC leo mkitoka salama Uwanja wa Taifa naufyeka ( naukata ) kabisa Uume wangu na nitajua mwenyewe nitakuwa nakojolea kupitia wapi.

Leo Yanga ndiyo mtajua kuwa Simba SC hatukuenda Zanzibar kupoteza muda na Kafara tulilolifanya na Uchawi tulioutumia leo huko Jangwani mtatafutana na kuna uwezekano hata mkauwana wenyewe kwa wenyewe pale Taifa kwa kipigo Kitakatifu, cha Mbwa mwizi na cha Kishalubela.

Wana Simba SC wenzangu nendeni Uwanjani mkiwa kifua mbele kabisa kwani mechi tumeshaimaliza na jana usiku hadi tunalala zilikuwa goli 3 ila tumeamka asubuhi hii wamepunguza Goli 1 tu na haya Magoli 2 yameshindikana na wamepewa Sharti kuwa wakitaka hayo yote 2 yafutike basi Viongozi wao wa juu mmoja wapo ajitoe Mhanga afe na wote wamechomoa ( wamekataa na kuogopa ).

Kuna Goli 2 Simba SC anashinda ila kuna Kadi Nyekundu 2 pia kwa Simba na kwa Yanga.

Yanga FC poleni sana na leo tutawaokota wengi sana pale Taifa kwa Kuzimia na tunategemea kupata taarifa nyingi tu kutoka sehemu mbalimbali kuwa Mashabiki wa Yanga wamepoteza maisha baada ya kupata Kichapo kutoka kwa Mnyama Mnyamani Simba Sports Club.
Vyomba vya usalama vinatakiwa kukutafuta utoe maelezo zaidi kuhusiana na goli mbili na kadi nyekundu
 
Kwa hali ya hewa iliyopo sasa angani na mvua inayonyesha sasa jijini Dar hakyanani Yanga FC leo mkitoka salama Uwanja wa Taifa naufyeka ( naukata ) kabisa Uume wangu na nitajua mwenyewe nitakuwa nakojolea kupitia wapi.

Leo Yanga ndiyo mtajua kuwa Simba SC hatukuenda Zanzibar kupoteza muda na Kafara tulilolifanya na Uchawi tulioutumia leo huko Jangwani mtatafutana na kuna uwezekano hata mkauwana wenyewe kwa wenyewe pale Taifa kwa kipigo Kitakatifu, cha Mbwa mwizi na cha Kishalubela.

Wana Simba SC wenzangu nendeni Uwanjani mkiwa kifua mbele kabisa kwani mechi tumeshaimaliza na jana usiku hadi tunalala zilikuwa goli 3 ila tumeamka asubuhi hii wamepunguza Goli 1 tu na haya Magoli 2 yameshindikana na wamepewa Sharti kuwa wakitaka hayo yote 2 yafutike basi Viongozi wao wa juu mmoja wapo ajitoe Mhanga afe na wote wamechomoa ( wamekataa na kuogopa ).

Kuna Goli 2 Simba SC anashinda ila kuna Kadi Nyekundu 2 pia kwa Simba na kwa Yanga.

Yanga FC poleni sana na leo tutawaokota wengi sana pale Taifa kwa Kuzimia na tunategemea kupata taarifa nyingi tu kutoka sehemu mbalimbali kuwa Mashabiki wa Yanga wamepoteza maisha baada ya kupata Kichapo kutoka kwa Mnyama Mnyamani Simba Sports Club.
Kwa utabiri huu naona tuanzishe kanisa watakuja sio yule aliyedai kuzuia mvua isinyeshe Dar hadi barabara inayoenda kanisani kwake ikamilike wakati jana mvua imenyesha
 
Nimecheka sana..ila ndio mchezo ulivyo.
 
Yan Yanga Leo hasa kipindi cha pili, ilionekana kabisa wameishiwa mbinu....kweli mikia walienda Zanzibar...hivi Yanga kamati ya ufundi haipo.?? Simba safari hii wanafurukuta hawana utani....tukizubaa ndo basi...akishinda mechi 5 tu mfululizo atakuwa bingwa...hapa Yanga ashinde zote , simba apoteze moja
 
Back
Top Bottom