Kwa wote wenye malalamiko kuhusu jukwaa letu la Mahusiano.

Kwa wote wenye malalamiko kuhusu jukwaa letu la Mahusiano.

Aisee mimi natafuta lady wa kumtongoza lakini akubali, kama anajijua atakataa asinambie, kama upo tayri ni PM!!! Vigezo na masharti kuzingatiwa....:wink2:
Wa kutongoza uwe wewe wa kuanza kukuPM niwe mimi?
 
tumekushutukia na wewe unataka utoke vipi,upate kuchangiwa thread ifike page ya 20,kwa kweli haitanoga sasa tumechacha naitisha mgomo :A S 13::wink2:
Mmmh kumbe ndo hv ukitaka kutoka?kuhusu mgomo hauruhucwi coz kuna taarifa za kìinterejisia.nilivyosoma kichwa cha habari 2 nikajua jina langu lzm liwemo nshaanza kujulikana sasa. Athante yethu
 
Mmmh kumbe ndo hv ukitaka kutoka?kuhusu mgomo hauruhucwi coz kuna taarifa za kìinterejisia.nilivyosoma kichwa cha habari 2 nikajua jina langu lzm liwemo nshaanza kujulikana sasa. Athante yethu

Na kweli ushakuwa femasi kokudo tusubiri tena sijui utatokaje tena wengine wazuri kuchangia tu
 
Back
Top Bottom