Wa kutongoza uwe wewe wa kuanza kukuPM niwe mimi?Aisee mimi natafuta lady wa kumtongoza lakini akubali, kama anajijua atakataa asinambie, kama upo tayri ni PM!!! Vigezo na masharti kuzingatiwa....:wink2:
Kidogo nianguke kwenye kiti baada ya kusoma neno la mwisho,leo ntalala fofofo Mwuaaah!:wink2:
Hata mimi huwa nashangaa mtu anahitaji kitu anaandika ni PM basi.Wa kutongoza uwe wewe wa kuanza kukuPM niwe mimi?
You have guaranteed that my angel will sleep like a baby 2nyt.Hehehe asante dearest!Sleep tite!
You have guaranteed that my angel will sleep like a baby 2nyt.
Kweli hapa ni chat-room!.... thanks for zisi yuziful sredi!
natafuta mtu wa kumfanyia hicho kitendo cha mwisho.
Kereen kuna kitu hatujamalizana ivo.....:A S 13:
Hahaha! Maria sikuwezi we ni mtaalamu sana wa mambo ya kikubwa nitachemsha lol!Uporoto01 nitongoze basi
Nini.......Anzeni basi...
Nini.......
Mmmh kumbe ndo hv ukitaka kutoka?kuhusu mgomo hauruhucwi coz kuna taarifa za kìinterejisia.nilivyosoma kichwa cha habari 2 nikajua jina langu lzm liwemo nshaanza kujulikana sasa. Athante yethutumekushutukia na wewe unataka utoke vipi,upate kuchangiwa thread ifike page ya 20,kwa kweli haitanoga sasa tumechacha naitisha mgomo :A S 13::wink2:
Kereen kuna kitu hatujamalizana ivo.....:A S 13:
Mmmh kumbe ndo hv ukitaka kutoka?kuhusu mgomo hauruhucwi coz kuna taarifa za kìinterejisia.nilivyosoma kichwa cha habari 2 nikajua jina langu lzm liwemo nshaanza kujulikana sasa. Athante yethu
Anzeni basi...
Hahaha! Maria sikuwezi we ni mtaalamu sana wa mambo ya kikubwa nitachemsha lol!