Kwa wote wenye malalamiko kuhusu jukwaa letu la Mahusiano.

ha haaaaaaaaaaa, umeamua kujiadhari kabla ya kudhalilika? hapo kuna hatari ya 2 bila............
Huyu bibie anaeshinda kwenye pono simuwezi anaweza taka staili ya toroli nikashindwa lol!
 

Shikamoo Kaka. Ninapotaka mimi ni hapo tu X 2
 
hahahaaaaaaa uwiiiiiiiiiiiiii mbavu zangu mieeeeeeee
 
hahahaaaaaaa uwiiiiiiiiiiiiii mbavu zangu mieeeeeeee
Kwenye signature yako hutaki maua kuletewa kaburini unataka upewe sasa haya pokea :A S-rose::A S-rose::A S-rose:
 
Hi Lizzy!samahani lakini.Hivi unaweza shawishiwa na mtu kwa mistari?binafsi mistari has very litlle to do withswitching me on.

Sasa hata kama ana sura nzuri bila mistari ntajuaje ananikubali??
 
kutongozana mh!.... Usije opoa kisicho riziki...
 
Mi sijawahi kuanzisha ila mchangiaji mzuri sana nikianzisha thread yangu msipochangia nitawachapa wote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…