Kwa yaliotokea Jana usiku wa mabingwa haraka Mwakinyo aandaliwe pambano

Kwa yaliotokea Jana usiku wa mabingwa haraka Mwakinyo aandaliwe pambano

Karibu Duniani kote,mwenyeji akimaloza round zote,mgeni huna chako. Hata Mayweather kwa Pacquiao lililofanyika Marekani watu walilalamika Mayweather amepigwa.

Halafu Azam ndio wameipa promo Ngumi kwa kuzionesha hatua kwa hatua tokea wakiwa mazoezini mpaka kwao mpaka Siku ya pambano. Hata Mpira wa bongo wameuongezea thamani kwa kuuonesha. Mwakinyo ni factor ndogo sana
Kwann azam hawakuanza kuonyesha Enzi za kina cheka na kupromot ndio azam Wana mchango mkubwa Lakin azam walimuitaji mtu kama mwakinyo kwanza ndiomana walisubir pia wanasubir hata kwenye michezo mingine watokee watao weza kua na ushawish ndio azam wawekeze
 
Kwann azam hawakuanza kuonyesha Enzi za kina cheka na kupromot ndio azam Wana mchango mkubwa Lakin azam walimuitaji mtu kama mwakinyo kwanza ndiomana walisubir pia wanasubir hata kwenye michezo mingine watokee watao weza kua na ushawish ndio azam wawekeze

Kwa hiyo ulitaka Azam ianze kuonesha hata kipindi ambapo haikuwepo?
 
Kwann azam hawakuanza kuonyesha Enzi za kina cheka na kupromot ndio azam Wana mchango mkubwa Lakin azam walimuitaji mtu kama mwakinyo kwanza ndiomana walisubir pia wanasubir hata kwenye michezo mingine watokee watao weza kua na ushawish ndio azam wawekeze
Kati ya Azam kuonesha mapambano ya ubondia na pambano la Mwakinyo kuoneshwa na Azam TV ,kipi kilitangulia?
 
Jana Azam TV na promoter walio dhamin mapambano sikuona kama walitaka kukuza Mchezo wa ngum na kuuendeleza Bali kuuharibu kabisa

Mapambano ya Jana Hasa lile la Mwisho la Mfaume Mfaume kila mtu kuanzia walio kua ndan ya ukumbi nje ya ukumbi mpaka Azam wenyewe walishangaa how Mfaume Mfaume Ameshinda kwa jinsi alivyo pigwa?

Tanzania Roho mbaya tu ndio inatusumbua Baadh ya wadhamin wanataka kulazimisha kila mtu awe Bingwa ili tu waweze kupata mapambano Sawa ni vizur basi tafuten mabingwa wa kweli Sasa kwa uozo kama ule anatoka mbele eti namtaka Mwakinyo Mwakinyo si atamuua???

Pambano ya Jana kidogo unaweza Sema alie stail kuitwa Bingwa ni Dulla Mbabe japo Ana tatizo la kuachia Sana ngum, za sura zimfikie sababu hil ni mbaya mana kama Bondia Ana pumz akikaza mpaka raund ya mwisho basi Dulla mbabe atakua kapigwa kwa point na Ndio mana Twaha kiduku Alimshinda
Ila naamin Twaha kiduku Akirudia na Dula mbabe Ameisha na kama kwel Anaona yeye ni Bingwa na Anastail kupigana na Mwakinyo basi na Yeye akubali Kurudia pambano kwanza na Dulla mbabe aone kama atatoboa

Mapambano ya Jana Yameshusha hadh na Heshima ya Ngum za Sasa Ambazo Mwakinyo kapambana mpaka kufanya mchezo wa ngum uwe na uwezo wa kuingiza watu Zaid ya maelf kwa usiku mmoja embu mpeni mwakinyo Heshima yake msitake kila mtu awe bingwa ubingwa acha autafute mwenyewe msiwabebe

Pia wachambuz wa Jana na wao walikua mashabiki wa mabondia wa tanzania sijui kama ndio sheria ilivyo ama laa Lakin Jana ilikua kituko na ilionyesha dhahir kua Baadhi ya Mabondia wengi hawampend Mwakinyo kwa kuangalia mwakinyo akiwa anapambana wanavyo chambua mchezo na mabondia wengine wakiwa wanapambana Mara nyingi akiwa mwakinyo Hua wanaponda Aina ya upiganaj wake ila wakiwa Hawa Mabondia uchwara Sasa utasikia Leo anaua mpinzani hafikish raund ya Tatu Mara mpige mbavu ya kulia tumbon ehe ehe shame on you Tanzania

Sasa kama Jana Yale Makelele yote ya mchambuz juu ya mpinzani kushambuliwa na mchambuz jua anakipaza saut plas mashabiki mpinzani unafikir atakua huru kurusha ngum au ndio kumtoa mchezon kisaikolojia?

Azam TV na promoter wengine kama kwel mnataka watu waendelee kuangalia Ngum tanzania Bado mwakinyo ananafas ya kufanya ivyo ila mkitaka mlazimishe Hawa Mabondia VITAMBI wenu mlio wapa ubingwa kwa kupigana wao kwa wao zitarud zama za kina cheka promota tbc na eatv kiingilio Buku na bado watu Mia hawafiki

Azam na promoter mnatakiwa mjisafishe juu ya aibu ya Jana either kwa kuwafukuza wale majaj au kuwasimamisha

Pia mpeni mwakinyo pambano aje haraka kulinda Iman na heshima ya ngum ilio kua tayar ipo kabla haijapotea najua anataka hela nyingi ila mkumbuke yeye ndie star wa mchezo
Ngumi umeanza kufuatilia lini we jamaa ni kweli jana mfaume mfaume ngumi zao zilipoa na aliefanya zipoe ni yule mpinzani wake ukicheki muda mwingi alikua kaweka guard nashangaa watu wanaosema mfaume kapigwa lkn c kweli mfaume alichokua anakifanya ni ku score tu.Na suala la wachambuzi kumshabikia mfaume ni kawaida ulitaka wamshabikie mgeni
 
Ngumi umeanza kufuatilia lini we jamaa ni kweli jana mfaume mfaume ngumi zao zilipoa na aliefanya zipoe ni yule mpinzani wake ukicheki muda mwingi alikua kaweka guard nashangaa watu wanaosema mfaume kapigwa lkn c kweli mfaume alichokua anakifanya ni ku score tu.Na suala la wachambuzi kumshabikia mfaume ni kawaida ulitaka wamshabikie mgeni
Nini maana ya wachambuz???? Ngumi nimeanza kuzifatilia kwa ukaribu toka mwakinyo alivyo tuvutia wengi kwa stail yake ya upiganaji
 
Nini maana ya wachambuz???? Ngumi nimeanza kuzifatilia kwa ukaribu toka mwakinyo alivyo tuvutia wengi kwa stail yake ya upiganaji
Ndyo maana
Mbona pambano la mwakinyo na yule muargentina wale wachambuzi walimsifia mwakinyo tena huyo mfaume mfaume alikuwepo tatizo cc wabongo tunapenda kutengeneza mabeef ya hawa mastar yanatoka maneno upande huu yanapelekwa upande mwingine tuwaache mabondia kipindi hiki ndyo kipindi chao cha kuvuna ngumi zilidharauliwa sana bongo azam wamesaidia mnaanza tena kuwananga
 
Ndyo maana
Mbona pambano la mwakinyo na yule muargentina wale wachambuzi walimsifia mwakinyo tena huyo mfaume mfaume alikuwepo tatizo cc wabongo tunapenda kutengeneza mabeef ya hawa mastar yanatoka maneno upande huu yanapelekwa upande mwingine tuwaache mabondia kipindi hiki ndyo kipindi chao cha kuvuna ngumi zilidharauliwa sana bongo azam wamesaidia mnaanza tena kuwananga
Mwakinyo hajawai kusifiwa akiwa anafanya ujinga kama ule wa Jana unamsifia mtu ambae anapigika
 
Ndyo maana
Mbona pambano la mwakinyo na yule muargentina wale wachambuzi walimsifia mwakinyo tena huyo mfaume mfaume alikuwepo tatizo cc wabongo tunapenda kutengeneza mabeef ya hawa mastar yanatoka maneno upande huu yanapelekwa upande mwingine tuwaache mabondia kipindi hiki ndyo kipindi chao cha kuvuna ngumi zilidharauliwa sana bongo azam wamesaidia mnaanza tena kuwananga
Azam wamesaidia nn wakat azam walikua zao bize kurusha ngum za nje na kfc uku kina matumla na cheka tukiishia kuwaona eatv na tbc wakipambana kwa viingilio Vya buku mbil mbil jero na mapromoter kusepa na hela Leo mwakinyo katoka atokako azam wakamuona Dil na pambano la kwanza mwamba akajaza kama msanii wa Muzik vile Tena mond au Kiba toka apo wa kaanza kuzaliwa mabondia sambusa wengine walikua wamestafu wamerud maziezin

Kipind mwakinyo ajaanza kupigana hapakuwahi kutokea bondia alie Pata watu hata Mia 2 kwenye pambano moja ila toka mwakinyo kaanza ni yeye pekee ndie alie Pata maelf ya watizamaj plas wazamin na yeye ndio Kafanya watanzania wengi tunafatilia ngum [emoji849][emoji849][emoji1787]
 
We sijui ni mgeni wa ngumi? huyo Mwakinyo mwenyewe anasema kuna pambano hajapigwa ila alinyang'anywa kwa kuwa alishinda kwa point ugenini.

Ukitoa pambano la mfaume mapambano yote hayana shaka ukiacha pambano la kwanza ambalo kuna controversial mpaka sasa kama ni Technical draw au knockout.

Hao wachambuzi walikua neutral tu walimsifia sana yule Mzimbabwe na wakawa wanashauri Mfaume asjiachie sana...kwenye matokeo waligoma kutabiri,kwani lazima unganisha facts ujipe matokeo mwenyewe.
 
We sijui ni mgeni wa ngumi? huyo Mwakinyo mwenyewe anasema kuna pambano hajapigwa alinyang'anywa kwa kuwa alishinda kwa point.

Ukitoa pambano la mfaume mapambano yote hayana shaka ukiacha pambano la kwanza ambalo kuna controversial mpaka sasa kama ni Technical draw au knockout.
Kuna shida mbil moja ni mfaume pili ni Bondia za mitaan kuzinad ni bondia za mabingwa fikiria mkenya kakaa kwao asikie Yale Makelele ya maandalizi na yeye ajiandae kuwaona mabingwa alafu anakuja kuona huu uozo
 
Ndio maana Mwakinyo huwa anasema mnapigana na walevi sasa kama yule bondia aliepigana na Toni ni bondia kweli anacheza kiduku tu kwenye ring... Pambano ya mfaume mfaume imeonekana wazi kabisa kapigwa jebu zenye point yeye ngumi zake zote zimeishia kwenye gurd ya jamaa lakini eti kaibuka bingwa [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] UTOPOLO HADI KWENYE NDONDI
IFIKE HATUA MWAKINYO APEWE HESHIMA YAKE JAMANI....
 
Azam wamesaidia nn wakat azam walikua zao bize kurusha ngum za nje na kfc uku kina matumla na cheka tukiishia kuwaona eatv na tbc wakipambana kwa viingilio Vya buku mbil mbil jero na mapromoter kusepa na hela Leo mwakinyo katoka atokako azam wakamuona Dil na pambano la kwanza mwamba akajaza kama msanii wa Muzik vile Tena mond au Kiba toka apo wa kaanza kuzaliwa mabondia sambusa wengine walikua wamestafu wamerud maziezin

Kipind mwakinyo ajaanza kupigana hapakuwahi kutokea bondia alie Pata watu hata Mia 2 kwenye pambano moja ila toka mwakinyo kaanza ni yeye pekee ndie alie Pata maelf ya watizamaj plas wazamin na yeye ndio Kafanya watanzania wengi tunafatilia ngum [emoji849][emoji849][emoji1787]
Angalia mahojiano ya mabondia toka azam tv walivyoanza kurusha utasikia tu kila bondia aseme tunaishukuru azam tv ww cyo mfuatiliaji wa ngumi ingia youtube tafuta mapambano ambayo azam tv walikua hawajaanza kurusha live utaona mabondia walivyokua wakidharaulika.Ushasikia story ya dula mbabe alicheza pambano kwa sh 80000 cjui ile na angalia sasa wanavyolipwa
 
Back
Top Bottom