Pre GE2025 Kwa yaliyojitokeza Mkutano Mkuu wa CCM, Hakika Kikwete ni mtoto wa mjini na ni jabali la siasa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Katiba ya CCM imekataza Azimio kama hilo kwenye zoezi la kutafuta mgombea wa urais.

Wamelazimisha tu kwa sababu hatuna utamaduni wa kuheshimu katiba.
Shamba la bwana heri, mbuzi wa bwana heri na nyasi za bwana heri
 
Jana mwamba kapigwa kanzu na kaipokea Kwa shida
 
Mama hajaingizwa mkenge ila anajua namna ya kucheza nao.....watu walikua wanacheki upepo tu,,,,,kumbukeni kuna ile nafasi ya katelephone bado.........kwenye ubunge ndo zinakuja sarakasi za kutosha
Binaadamu wakati tunapanga na Mungu nae anapanga pia!!
 
Shamba la bwana heri, mbuzi wa bwana heri na nyasi za bwana heri
Hata hapo katika shamba hilo, ukisema majani ni ya bluu wakati ni ya kijani itabidi tuseme huu ni uongo.

For logical consistency, if for nothing else.
 
Bongo amna system bali kuna kikundi chenye access tu
 
KAMA ZILE NI SIASA,BASI AMANI ISINGEKUWEPO.
 
Nchimbi ndie utakuja kuniambia nchimbi ndio mgombea wa CCM!
 
System ilio kamilika haiwezi ruhusu nchi kuendeshwa na kikundi kihuni
Wanaruhusu madhara yaonekane kwanza kabla ya kuchukua hatua!

Wakichukua hatua kabla ya madhara kuonekana itaonekana kaonewa mtu!

Ndivyo walivyo,jamaa wanatoa maonyo kama manne au tano ndio wanaingia mzigoni!!

Marehem chuma alipigwa nyaraka za TEC ngapi!!?kabla ya yale!!?
 

Kwani nani kakwambia mambo yameisha jana? Anayelala usimwamshe. Kuna watu wanaendelea kupanga kila siku, akiwemo ili kupata wanayoyataka. Na wanasiasa huwa hawachoki wala kukata tamaa. It may mean jana wamepata solutions au pengine wana mengine wanayataka.
Ukistaajabu ya Musa, utashangaa ya Filauni. Tanzania ilipo inahitaji uongozi thabiti na watu wenye nia njema. Kucheza cheusi chekundu kuna hatari zake kubwa sana
 
Nchimbi ndie utakuja kuniambia nchimbi ndio mgombea wa CCM!
Mgombea umeshakua makamu....kazi yake kushika mkasi tu kuzindua miradi na hapo nafasi yake kwenye chama ataachia.....hapo inategemea watakao kua viongozi kwenye chama pamoja na ile nafasi aliyopo katelephone........Nchimbi kua makamu ameshapigwa pini kiutu uzima labda angekua mzenji angeenda kua rais huko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…