Kwa yaliyomkuta rafiki yangu sitajaribu kuoa

Kwa yaliyomkuta rafiki yangu sitajaribu kuoa

Chai tu hizi

Fiksi

Kamba

Anyway rafiki yako analia kuachiwa mtoto? Kwani huyo mtoto ni wa jirani yake? Si wakwake? Yeye si mzazi amhudumie??


Mke wake alianza kubadilika tabia akanifuata na kuniomba ushauri,nikamuuliza kulikoni? akasema ni mara ya pili sasa mkewe anambwagia mtoto na kwenda misele isiyo na kichwa wala miguu,akimwambia aondoke na mtoto mwanamke anakuwa kiburi,anakaidi na kuondoka akimwacha mtoto analia,tena ndo first born huyo mtoto,jamaa akaamua kufuatilia ili ajue kulikoni,amefanya u spy kwa miezi 6.

Jana tena mwanamke akaondoka kama kawaida yake na kumuacha mtoto akilia,jamaa akanipigia cm kuwa niende haraka kumpa kampani ya kumfuatilia wife wake,ilikuwa saa 3 usiku,kwa kawaida mke wa jamaa huaga kuwa anakwenda kwenye hisa(michezo wachezayo wanawake wengi mjini) tulipofika kwenye ile nyumba ambayo ndo mara nyingi hupenda kwenda ktk hisa,tukakuta hayupo,jasusi wa jamaa aliyemuweka kwa kazi ya kum spy.

Mkewe,akatuelekeza aliko shem,jamaa akashindwa ku drive,ikabidi nishike sterling,looh kufika tukavamia nyumba ya mgoni na kumkuta shem yupo uchi kama alivyozaliwa,jamaa kazirai,nimekesha hosp,shem kakimbia sijui aliko,SITAKI KUOA.

Ila chai hii hainogi

Haijapangiliwa

Imekaa kusadikika zaidi

Mtunzi arudi darasani
 
Acheni kutisha watu. Hakuna mwanamje mpuuzi kiasi cha kufanta hivyo.
 
Katika kosa ambalo siwezi kumsamehe mwanamke ni kujua kwamba anagongwa na mtu wakati akiwa na mimi. Hilo kwangu ni kosa lisilosameheka na wala sitatafuta mshauri ili nimpige chini.

Aisee nakubaliana sana na huu msimamo,safi sana
 
aiseeh kuna watu wana uvumilivu.! Unajua mwanamke akishakusoma udhaifu wako hapo ndipo anapokukamatia.Aiseeh kwa hzo tabia za mke wake ningepiga huyo mwanamke na ningeend kujifungulia RB.!angerudi kwao right away tabia hzo hazivumiliki hata kidogo
 
Story ni story. Ila kumbuka maisha si maigizo na yampatayo mwenzio si lazima nawe yakupate. Ishi maisha yako usiigilizie Kwa wenzio. Ama jifunze Kwa waliofanikiwa kijana
 
Unatakiwa ukamatwe na environmental lawyers kwa kuchafua mazingira. Gari ya mwaka 1997 imeisha muda wake wa kutumia. Hebu uende yard leo ukaangalie ustaarabu bwana ila uongeze na hizo CC kiduchu eeh

Mzima lakini wewe?
Cc1000,mwaka 1997, manual, white, 3 doors,
 
Back
Top Bottom