Kwa yaliyomkuta rafiki yangu sitajaribu kuoa

Chai tu hizi

Fiksi

Kamba

Anyway rafiki yako analia kuachiwa mtoto? Kwani huyo mtoto ni wa jirani yake? Si wakwake? Yeye si mzazi amhudumie??



Ila chai hii hainogi

Haijapangiliwa

Imekaa kusadikika zaidi

Mtunzi arudi darasani
 
Acheni kutisha watu. Hakuna mwanamje mpuuzi kiasi cha kufanta hivyo.
 
dah pole sana mkuu kua nae karibu sana hy best ako na mfariji vzr mahusiano ni magumu
 
Katika kosa ambalo siwezi kumsamehe mwanamke ni kujua kwamba anagongwa na mtu wakati akiwa na mimi. Hilo kwangu ni kosa lisilosameheka na wala sitatafuta mshauri ili nimpige chini.

Aisee nakubaliana sana na huu msimamo,safi sana
 
aiseeh kuna watu wana uvumilivu.! Unajua mwanamke akishakusoma udhaifu wako hapo ndipo anapokukamatia.Aiseeh kwa hzo tabia za mke wake ningepiga huyo mwanamke na ningeend kujifungulia RB.!angerudi kwao right away tabia hzo hazivumiliki hata kidogo
 
Story ni story. Ila kumbuka maisha si maigizo na yampatayo mwenzio si lazima nawe yakupate. Ishi maisha yako usiigilizie Kwa wenzio. Ama jifunze Kwa waliofanikiwa kijana
 
Unatakiwa ukamatwe na environmental lawyers kwa kuchafua mazingira. Gari ya mwaka 1997 imeisha muda wake wa kutumia. Hebu uende yard leo ukaangalie ustaarabu bwana ila uongeze na hizo CC kiduchu eeh

Mzima lakini wewe?
Cc1000,mwaka 1997, manual, white, 3 doors,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…