Kwa yanayoendelea kesi ya Sabaya, naamini tutakuja kujua waliohusika kumshambulia Tundu Lissu na wasiojulikana kujulikana

Kwa yanayoendelea kesi ya Sabaya, naamini tutakuja kujua waliohusika kumshambulia Tundu Lissu na wasiojulikana kujulikana

Tunaanza kusikia tuliyokuwa hatuyajui au kuthibitisha yale tuliyokuwa tukidhania, kwa yanayondelea kutamkwa na Sabaya ni wazi hata kitendawili cha waliomshambulia Tundu Lissu na kilichowasukuma kinaweza kutatuliwa

Sabaya anatamka kabisa kuwa alifika KIA akakutana team ya watu 4 ambao hawezi kuwataja ambao alienda nao kufanya operation aliyopewa na Mamlaka ya uteuzi.

Anaenda mbali kusema operation hiyo baadhi ya watu waliifahamu, inawezekama lengo ni kuhakikisha operation inaenda salama bila kukatizwa hata kama wengine hawajui ni operation gani na mengi aliyoongea

Nikiangalia naona kabisa kuwa hata suala la Kushambuliwa Lissu, inawezekana pia ilikuwa operation nyingine, ukizingatia kulikuwa na fununu za Bashite kuwepo Dodoma wakati shambulizi linatokea.

Lakini pia wakati shambulizi linatokea inawezekana mamlaka zingine na watu wa makazi hayo( tunaambiwa ni ya viongozi) waliambiwa kuna operation japo hawajui ni aina gani na ndio inaweza kuwa sababu hakukuwa na ulinzi kabisa tofauti na siku zote na hata camera kutolewa?

Kingine kinachoonekana kuna watu wachache sana waliaminiwa na Mamlaka ya uteuzi kuweza kufanya operation za namna hii, ndio maana yule Sabaya alitoka Hai kwenda Arusha kufanya operation, na inawezekana mwingine alitoka Dar kwenda Dodoma.

Tundu Lissu mwenye alisema wakati anashambuliwa Mkuu wa Mkoa wa Dar alikuww Dodoma


Ninachojiuliza hizi zilikuwa 'Rogue' operation? Inaonekana kuna kikundi cha watu( wasiojulikana) kiliundwa nje ya Taasisi rasmi, ndio maana zimefanya mambo 'kishamba' sana.

Nimpongeze Lissu kwa akili za haraka za kuamua kukilaza kitu yeye na dereva wake na kivuweka mbali viungo muhimu sana vya mwili, kana kwamba alipitia mafunzo, pia faida ya kuwa na tinted hawakuweza kuonwa kuwa wamelala.


NB; Majuma kadhaa kabla ya tukio kulitolewa amri ya kuondoa tinted zote kwenye magari mkoani kwake, baadae nadhani ikawa ngumu huenda operation ilipangwa ifanyike Dar ndio maana Lissu alianza kulalamika kuwa kuna gari zinamfatilia


Je wasiojulikana wanaanza kujulikana?
Amin, nawaambia, hakuna hata jiwe moja hapa litakalobaki juu ya jingine, bali kila moja litabomolewa.” Ishara Za Nyakati Za Mwisho ( Marko 13:3-23 ; Luka 21:7-24 )
HAKIKA Mungu ni mkubwa. Bado kitambo kidogo tu, wahusika watatueleza vizuri, nasi TUTAKUJA YAJUA YOTE. AMEN.
Siri za wachawi huwa hazina uwezo wa kudumu. Shetani huwa hawahitaji tena washirika wake baada ya kumaliza kazi zake.
 
Mkuu mngony , thanks for this, its a good analysis na inafikirisha, hivyo ni kweli kuna uwezekano wa kuwajua wale wasiojulikana ila 'wasiojulikana' kamwe hawatajulikana!, kama nilivyoeleza hapa.
P
Mkuu bandiko lako hili nililikumbuka vizuri kabisa wakati nashusha huu uzi
 
Amin, nawaambia, hakuna hata jiwe moja hapa litakalobaki juu ya jingine, bali kila moja litabomolewa.” Ishara Za Nyakati Za Mwisho ( Marko 13:3-23 ; Luka 21:7-24 )
HAKIKA Mungu ni mkubwa. Bado kitambo kidogo tu, wahusika watatueleza vizuri, nasi TUTAKUJA YAJUA YOTE. AMEN.
Siri za wachawi huwa hazina uwezo wa kudumu. Shetani huwa hawahitaji tena washirika wake baada ya kumaliza kazi zake.
Hakika
 
Mkuu mngony , thanks for this, its a good analysis na inafikirisha, hivyo ni kweli kuna uwezekano wa kuwajua wale wasiojulikana ila 'wasiojulikana' kamwe hawatajulikana!, kama nilivyoeleza hapa.
P
Kiongozi wa wasio julikana ameshajulikana tayari acha kutumbia hawajulikani.

Alafu mkuu unakuaje mwanachama wa chama chenye members kama akina Sabaya wanao tenda maovu kwenye jamii??
 
Tunaanza kusikia tuliyokuwa hatuyajui au kuthibitisha yale tuliyokuwa tukidhania, kwa yanayondelea kutamkwa na Sabaya ni wazi hata kitendawili cha waliomshambulia Tundu Lissu na kilichowasukuma kinaweza kutatuliwa.

Sabaya anatamka kabisa kuwa alifika KIA akakutana team ya watu 4 ambao hawezi kuwataja ambao alienda nao kufanya operation aliyopewa na Mamlaka ya uteuzi.

Anaenda mbali kusema operation hiyo baadhi ya watu waliifahamu, inawezekama lengo ni kuhakikisha operation inaenda salama bila kukatizwa hata kama wengine hawajui ni operation gani na mengi aliyoongea.

Nikiangalia naona kabisa kuwa hata suala la Kushambuliwa Lissu, inawezekana pia ilikuwa operation nyingine, ukizingatia kulikuwa na fununu za Bashite kuwepo Dodoma wakati shambulizi linatokea.

Lakini pia wakati shambulizi linatokea inawezekana mamlaka zingine na watu wa makazi hayo( tunaambiwa ni ya viongozi) waliambiwa kuna operation japo hawajui ni aina gani na ndio inaweza kuwa sababu hakukuwa na ulinzi kabisa tofauti na siku zote na hata camera kutolewa?

Kingine kinachoonekana kuna watu wachache sana waliaminiwa na Mamlaka ya uteuzi kuweza kufanya operation za namna hii, ndio maana yule Sabaya alitoka Hai kwenda Arusha kufanya operation, na inawezekana mwingine alitoka Dar kwenda Dodoma.

Tundu Lissu mwenye alisema wakati anashambuliwa Mkuu wa Mkoa wa Dar alikuww Dodoma.


Ninachojiuliza hizi zilikuwa 'Rogue' operation? Inaonekana kuna kikundi cha watu( wasiojulikana) kiliundwa nje ya Taasisi rasmi, ndio maana zimefanya mambo 'kishamba' sana.

Nimpongeze Lissu kwa akili za haraka za kuamua kukilaza kitu yeye na dereva wake na kivuweka mbali viungo muhimu sana vya mwili, kana kwamba alipitia mafunzo, pia faida ya kuwa na tinted hawakuweza kuonwa kuwa wamelala.


NB; Majuma kadhaa kabla ya tukio kulitolewa amri ya kuondoa tinted zote kwenye magari mkoani kwake, baadae nadhani ikawa ngumu huenda operation ilipangwa ifanyike Dar ndio maana Lissu alianza kulalamika kuwa kuna gari zinamfatilia


Je wasiojulikana wanaanza kujulikana?
Martial Arts alipita TL.

Mungu akamponya
 
Wauaji wa Lisu sidhani kama bado wapo hai waliopo hai watakuwa wa wachache walio hai huku albadili ikiendelea kuwatafuna polepole.
Kuna mmoja kaomba watz wamuombee anapitia magumu
 
Mkuu mngony , thanks for this, its a good analysis na inafikirisha, hivyo ni kweli kuna uwezekano wa kuwajua wale wasiojulikana ila 'wasiojulikana' kamwe hawatajulikana!, kama nilivyoeleza hapa.
P
Paskali, wakati mwingine unafikirisha Sana. Mawazo yako ni vile upeo wako ulipoishia. Wasiojulikana watajulikana chini ya hili jua.
Duniani jambo likishakuwa la wawili na zaidi lazima litajulikana tu.
Kama wewe unasema hawatajulikana, maana yake Kuna mengi unayajua kuhusu jambo hilo. Kuna namna utakuja kusaidia......
 
Wauaji wa Lisu sidhani kama bado wapo hai waliopo hai watakuwa wa wachache walio hai huku albadili ikiendelea kuwatafuna polepole.
Kuna mmoja kaomba watz wamuombee anapitia magumu
Watakuwepo tu wengine
 
Tunaanza kusikia tuliyokuwa hatuyajui au kuthibitisha yale tuliyokuwa tukidhania, kwa yanayondelea kutamkwa na Sabaya ni wazi hata kitendawili cha waliomshambulia Tundu Lissu na kilichowasukuma kinaweza kutatuliwa.

Sabaya anatamka kabisa kuwa alifika KIA akakutana team ya watu 4 ambao hawezi kuwataja ambao alienda nao kufanya operation aliyopewa na Mamlaka ya uteuzi.

Anaenda mbali kusema operation hiyo baadhi ya watu waliifahamu, inawezekama lengo ni kuhakikisha operation inaenda salama bila kukatizwa hata kama wengine hawajui ni operation gani na mengi aliyoongea.

Nikiangalia naona kabisa kuwa hata suala la Kushambuliwa Lissu, inawezekana pia ilikuwa operation nyingine, ukizingatia kulikuwa na fununu za Bashite kuwepo Dodoma wakati shambulizi linatokea.

Lakini pia wakati shambulizi linatokea inawezekana mamlaka zingine na watu wa makazi hayo( tunaambiwa ni ya viongozi) waliambiwa kuna operation japo hawajui ni aina gani na ndio inaweza kuwa sababu hakukuwa na ulinzi kabisa tofauti na siku zote na hata camera kutolewa?

Kingine kinachoonekana kuna watu wachache sana waliaminiwa na Mamlaka ya uteuzi kuweza kufanya operation za namna hii, ndio maana yule Sabaya alitoka Hai kwenda Arusha kufanya operation, na inawezekana mwingine alitoka Dar kwenda Dodoma.

Tundu Lissu mwenye alisema wakati anashambuliwa Mkuu wa Mkoa wa Dar alikuww Dodoma.


Ninachojiuliza hizi zilikuwa 'Rogue' operation? Inaonekana kuna kikundi cha watu( wasiojulikana) kiliundwa nje ya Taasisi rasmi, ndio maana zimefanya mambo 'kishamba' sana.

Nimpongeze Lissu kwa akili za haraka za kuamua kukilaza kitu yeye na dereva wake na kivuweka mbali viungo muhimu sana vya mwili, kana kwamba alipitia mafunzo, pia faida ya kuwa na tinted hawakuweza kuonwa kuwa wamelala.


NB; Majuma kadhaa kabla ya tukio kulitolewa amri ya kuondoa tinted zote kwenye magari mkoani kwake, baadae nadhani ikawa ngumu huenda operation ilipangwa ifanyike Dar ndio maana Lissu alianza kulalamika kuwa kuna gari zinamfatilia


Je wasiojulikana wanaanza kujulikana?
PAULO MAKONDA AU DAUDI MALYANGILI BASHITE NDIYO ALIKUWA KIHEREHERE WA KUJIWEKA KARIBU NA MKUU AKAUA NA KUTEKA WATU, MAREKANI WANAJUA SISI TANZANIA NDIO ZAIDI,NI MUDA, HUYU MPUMBAVU BASHITE ITAKUWA MBAYA SOON, HADI YA RUGE. WALIAMINI YULE NI MUNGU HIVYO WAKAWATENDA UOVU WANADAMU WENZAO KWA KUMFURAHISHA HERODE, ALIDHARAU NA KUTUNAKANA MAWAZIRI DR. MPANGO EXPERIENCED SAKATA LA MAKONTENA YA MAKONDA PALE DICD, LAKINI ILIKUWA HUWEZI KUDEAL NAE YULE MZEE WALIMWEKA KWENYE CHUPA
 
Tunaanza kusikia tuliyokuwa hatuyajui au kuthibitisha yale tuliyokuwa tukidhania, kwa yanayondelea kutamkwa na Sabaya ni wazi hata kitendawili cha waliomshambulia Tundu Lissu na kilichowasukuma kinaweza kutatuliwa.

Sabaya anatamka kabisa kuwa alifika KIA akakutana team ya watu 4 ambao hawezi kuwataja ambao alienda nao kufanya operation aliyopewa na Mamlaka ya uteuzi.



alikuwa-dodoma.1548137/[/URL]

Ninachojiuliza hizi zilikuwa 'Rogue' operation? Inaonekana kuna kikundi cha watu( wasiojulikana) kiliundwa nje ya Taasisi rasmi, ndio maana zimefanya mambo 'kishamba' sana.

Nimpongeze Lissu kwa akili za haraka za kuamua kukilaza kitu yeye na dereva wake na kivuweka mbali viungo muhimu sana vya mwili, kana kwamba alipitia mafunzo, pia faida ya kuwa na tinted hawakuweza kuonwa kuwa wamelala.

Je wasiojulikana wanaanza kujulikana?
Tusipepese macho wala kujiuma uma.
Makonda alitumwa na Magufuli kumshambulia Lissu.

Polisi walikuwapo Dodoma na ndiyo waliohusika kutoa CCTV Cameras kwenye nyumba za mawaziri na wabunge pale Area D. Na hawakushika mtu hata mmoja kwa mashambulizi yale

Bado Serikali ni ya CCM iko madarakani ambayo Magufuli alikuwa ndiye Mwenyekiti wake na Rais na aliyetoa maagizo.

Ubalozi wa USA ulimsitishia Makonda kuingia nchini kwao kwa kuwa anatuhumiwa "kusitisha haki ya kuishi"ya Watanzania wengine.

Makonda anaweza kutosumbuliwa kwa kipindi hiki cha Rais Samia kwa sababu fulani.

LAKINI, Jinai haizeeki wala HAIFI, iko siku kutakuwa na Utawala wa Sheria au Chama cha upinzani kitaongoza Tanzania ndiyo utayaona mashtaka ya Makonda Mahakamani/Polisi kama unavyoyaona haya ya Sabaya
https://www.jamiiforums.com/
 
Back
Top Bottom