Taifa la Tanzania ni Taifa la watu waungwana na watu wasio na makuu ni Taifa la wana Hewala kama napata mlo wangu wa siku mambo mengine hayaniusu.
Ni taifa kama niliumizwa na wewe unaumizwa basi leo ni zamu yako mimi siwezi kuingilia ni taifa la aina yake.
Leo napenda kuja na mada yenye kuuliza swali juu ya usalama wa taifa letu je, tupo salama?
Yes, katika jicho la wana usalama na wenye akili tupo salama ila ktk jicho la security intelligence uwenda Taifa lipo ktk kipindi hatari zaidi ila no one to comment 😑.
Matukio mbalimbali yanahosisha watu kutekwa watu wasiyojulikana soma hapa: Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana
Vipo viashiria vya kimya na vya wazi uwenda kama Taifa usalama wetu upo ktk kitisho ambacho hakikuwahi kuwepo toka kipindi cha Hayati baba wa Taifa.
Viashiria vya hatari zaidi niuwepo wa wimbi la mauwaji katika familia, upoteaji watu na matukio mabaya yakutisha katika jamii hizi ni red flags which need special eyes.
Kitisho kikubwa kabisa nilazima kushituka mara nyingine dalili kama hizi huusiana na drugs catel au makundi ya kidini ila katika taswira ya kisiasa this is fourth eye.
Nausiniulize kwa nini ila wana kidon wa Taifa hili wanaweza kunielewa.
Ni taifa kama niliumizwa na wewe unaumizwa basi leo ni zamu yako mimi siwezi kuingilia ni taifa la aina yake.
Leo napenda kuja na mada yenye kuuliza swali juu ya usalama wa taifa letu je, tupo salama?
Yes, katika jicho la wana usalama na wenye akili tupo salama ila ktk jicho la security intelligence uwenda Taifa lipo ktk kipindi hatari zaidi ila no one to comment 😑.
Matukio mbalimbali yanahosisha watu kutekwa watu wasiyojulikana soma hapa: Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana
Vipo viashiria vya kimya na vya wazi uwenda kama Taifa usalama wetu upo ktk kitisho ambacho hakikuwahi kuwepo toka kipindi cha Hayati baba wa Taifa.
Viashiria vya hatari zaidi niuwepo wa wimbi la mauwaji katika familia, upoteaji watu na matukio mabaya yakutisha katika jamii hizi ni red flags which need special eyes.
Kitisho kikubwa kabisa nilazima kushituka mara nyingine dalili kama hizi huusiana na drugs catel au makundi ya kidini ila katika taswira ya kisiasa this is fourth eye.
Nausiniulize kwa nini ila wana kidon wa Taifa hili wanaweza kunielewa.