Kwa yanayoendelea nchini je, Watanzania tupo salama?

Kwa yanayoendelea nchini je, Watanzania tupo salama?

Asante sana.

Mimi ninawaambia watu hapa JF wapimeni watu kwa kauli zao na msizisahau.

Huyu jamaa TumainiEL ni moja ya watu walioonyesha kwa uwazi kabisa wanaombea mabaya yamfike Ben.

Umesema vyema, waliomtuma pengine hawapo tena. Hafahamu miaka michache tu imepita alishiriki kwenye uovu uliomtokea Ben. Iwe alifanya hivi kwa ushabiki tu au kwakufahamu.

Sifa kuu ya watu wanamna hii ni kubadilika badilika kama kinyonga.
Ben mwanachadema alitekwa 2016 na kupotea hadi leo hii hawa kina TumainiEl wakafurahia.

Mwaka 2017 Nape katolewa bastola hadharani pengine leo hii angekuwa kauwawa kama yule mtu asingezuiliwa ajabu polisi wakamkana yule sio askari na wala sio kutoka chombo chochote cha usalama?

Lakini teknolojia ikawaumbua yule alikuwa ni miongoni mwa walinzi wa Makonda.

Mwaka 2018 Mo Dewji mbunge wa zamani na mwanaccm akatekwa na kurudishwa akiwa hoi.

Watekaji watashangilia upande kwakuwa sio wao ila ikiwafika ndio wanajua leo hakuna aliye salama.
 
Tunaweza kusema hatuko salama lakini kuna makundi hayako salama zaidi

1. Wakosoaji wa serikali
2. Wanaofichua uovu wa serikali
3. Wafanyabiashara wasiokuwa chawa
Haya ndiyo makundi ambayo yapo kwenye hatari zaidi
Lakini sisi wananchi wa vijijini hatujafikiwa bado na mkono wa magaidi na watekaji.
 
Ben mwanachadema alitekwa 2016 na kupotea hadi leo hii hawa kina TumainiEl wakafurahia.

Mwaka 2017 Nape katolewa bastola hadharani pengine leo hii angekuwq kauwawa kama yule mtu asingezuiliwa ajabu polisi wakamkana yule sio askari na wala sio kutoka chombo chochote cha usalama?

Lakini teknolojia ikawaumbua yule alikuwa ni miongoni mwa walinzi wa Makonda.

Mwaka 2018 Mo Dewji mbunge wa zamani na mwanaccm akatekwa na kurudishwa akiwa hoi.

Watekaji watashangilia upande kwakuwa sio wao ila ikiwafika ndio wanajua leo hakuna aliye salama.
2017 : Ulisomea wapi kuwa waziri anaenguliwa nafasi yake halafu anaitisha PRESS CONFERENCE pasi na kuwaambia wakubwa zake na kumpa ruhusa....

Ujinga huo....

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
2017 : Ulisomea wapi kuwa waziri anaenguliwa nafasi yake halafu anaitisha PRESS CONFERENCE pasi na kuwaambia wakubwa zake na kumpa ruhusa....
Kwahiyo wewe unaunga mkono matishio ya silaha hadharani kwa wenye ruksa kutumia silaha kutoka vyombo vya usalama?
Ujinga huo....
Ujinga wa nani Nape au Kisanduku aliyechomoa bastola hadharani kama mwehu?

Kwani mafunzoni huko hawakufundishwa somo la emotion intelligence?

Kila mtu akianza kuchomoa silaha hovyo hovyo mtaishi kwa amani?

Ndio maana nilitoa pendekezo kuwepo na periodic mental health screening and psychotherapy kwa askari.
 
Back
Top Bottom