Kwa yanayoendelea nchini je, Watanzania tupo salama?

Ngoja kwanza.

Hivi wewe jamaa si ulikuwa unashabikia KUUWAWA kwa Ben Saanane?

Naona member wa JF wamekusahau na kauli zako za kifedhuli.

Unabahati JF hakuna anayejali.
Hakushabikia!

Alimuonya kwamba atakutana na chatu USO kwa uso!

Alimwambia aache hicho anachokifanya la sivyo USO Kwa USO na chatu!!

Na kweli sijui alionana na nani hasa!
 
Hakushabikia!

Alimuonya kwamba atakutana na chatu USO kwa uso!

Alimwambia aache hicho anachokifanya la sivyo USO Kwa USO na chatu!!

Na kweli sijui alionana na nani hasa!
Ilikuwa ni dhahiri Ben alikuwa anawindwa na hao nguchiro.

Huyo jamaa wakujiita TumainiEL kwa kufahamu au kutofahamu alipenda kuona mabaya yanampata Ben Sanane.

Watu wanamna hii hawapaswi kuungwa mkunono au kuaminiwa.

Ujinga ni kuwa watu wanasahau haraka sana.
 
Mlianzisha hayo mambo akina TumainEl sasa wale chatu walishaonja nyama wanaendeleza tu pale mlipoishia.
 
Kama wewe sio CCM hauko salama.

Kama wewe sio mzanzibari hauko salama pia.

Hiyo ndiyo hali tuliyoifikia.
Naenda kuchukua Kadi na kuanzia sasa natembea na Bendera ya ccm na nembo yake kwenye shati.

Mzee tutaisha hivi hivi tunajiona.
 
Utawala wa mama wa kambo hautaki kukosolewa,kupingwa au kusemwa. Usalama wa taifa now ipo ikulu,they have a licence to catch, torture and kill Tanzanians bila impunity. Upuuzi kama huu ndiyo huwa unazaa uasi.
 
Pole sana, nadhani sasa tutaongea lugha moja!

Ben Saanane yupo wapi??

Ulipomwambia hatokuja kuandika humu tena ulifikiri waliokuwa wanakutuma watakuwepo madarakani milele?

Ndugu , jamaa , marafiki zako wamefikiwa au?

Mlikuwa subjective kutetea haki basi leo mnaona madhara ya fikra hasi kwa vyombo vya usalama kutumika kukandamiza raia.

Leo hii Ben Saanane hayupo na aliyeamuru apotezwe hayupo, mshindi nani?
 
Mlianzisha hayo mambo akina TumainEl sasa wale chatu walishaonja nyama wanaendeleza tu pale mlipoishia.
Yep.

Angalia hii halafu connect dots.

1. Legal immunity for secret service.

Hii ililetwa kimkakati na ninakuhakikishia hutosikia yoyote yule anakamatwa.

2. Secret service reporting directly to the president.

Ukiona wanaojiita wanausalama wana report kwa rais pekee fahamu mambo mengi machafu yatafanyika ile rais anafahamu au vinginevyo.

3. Kamatakamata wakosoaji wa serikali na muendelezo wa matukio yautekaji na mauaji.

Hii ndiyo lengo kuu. Wanasema watu wamekuwa watukutu na wanaongea sana. Na kama kawaida wanaojiita serikali watakanusha lakini ukikaa chini ukatuliza kichwa unagundua kamwe hawataongelea tatizo halisi na jinsi yakulitatua. Hali itaendelea hivyo ilimradi watu wanaendelea kukosoa.

Haya mambo hayatokei kwa bahati mbaya.
 

Asante sana.

Mimi ninawaambia watu hapa JF wapimeni watu kwa kauli zao na msizisahau.

Huyu jamaa TumainiEL ni moja ya watu walioonyesha kwa uwazi kabisa wanaombea mabaya yamfike Ben.

Umesema vyema, waliomtuma pengine hawapo tena. Hafahamu miaka michache tu imepita alishiriki kwenye uovu uliomtokea Ben. Iwe alifanya hivi kwa ushabiki tu au kwakufahamu.

Sifa kuu ya watu wanamna hii ni kubadilika badilika kama kinyonga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…