MamaSamia2025
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 14,588
- 32,361
- Thread starter
- #41
Kuna kitu kinaendelea ambacho sio kizuri. Na ikiendelea hivi hawa wahujumu wanaweza kufanikiwa hujuma zao. Mama atumie mkono wa chuma hata kidogo kwaYeye,alifikiri wata chakalika asa wanazingua makusudii....Kuna nongwa nahisi watu wanautaka. Uongozi ni kazi Sanaa mzee! Hususani wakijua ni Mpole.