Kwa yanayoendelea ni wazi kuwa kuna watu wanamhujumu Rais Samia. Hatua za haraka zichukuliwe kuwadhibiti

Yeye,alifikiri wata chakalika asa wanazingua makusudii....Kuna nongwa nahisi watu wanautaka. Uongozi ni kazi Sanaa mzee! Hususani wakijua ni Mpole.
Kuna kitu kinaendelea ambacho sio kizuri. Na ikiendelea hivi hawa wahujumu wanaweza kufanikiwa hujuma zao. Mama atumie mkono wa chuma hata kidogo kwa
 
Ha hàaaa Imebidi nicheke unamchanganya mleta Uzi...JANABI kasema tuachane na sukari na tuogope juisi
😅😅 unajua ameushusha uzi bila kuusoma i think, maana yake kuna watu aliwatag mwanzo wa uzi kabisa.

Nilipokutana na jina Dr janaba, nilijua atakuwa amewrong, ndo maana katika kureply nika change na kuweka Dr janabi, sasa alivyo rudi kusema tena wapi kaandika Dr janabi ndo akanivuruga kabisa 😂😂

Thus why nikasema anipe maelezo ya huyo huyo aliyemtaja mwanzo DR JANABA, sijui Dr wa wapi huyu Tanzania hii???? 😁😁😁

Naona jamaa kafanya kuedit kawatoa aliokuwa amewa mention.
 
Huu ni uzi wa mambo ya kitaifa. Jitahidi usitoke nje ya reli.
 

Anahujumiwa wapi, ccm imeshafikia mwisho. Hilo tatizo la umeme ni kama haliwezekani. Mmeingizana mjini mmehongana bandari saa hii kinachoendelea hapo ni uozo kama wote. Muambie tu ajiandae kuiba kura maana ccm haina uwezo wa kushinda kihalali itakavyo tena nchi hii.
 
Yeye ndiye anayehujumu uchumi wa nchi tumeligundua hilo: hivi katika nchi maskinii hivi mtu anapata wapi ujasiri wa kuvaa saa ya milioni 110?!!

 
Hawana majawabu
 
Ingependeza sana kama ungemalizia " Watendaji wake wakishindwa, Yeye ndiye KASHINDWA"
 
Mtaazunguka mbuyu mpaka miguu ididimie tumboni

Tupambane tupate Katiba mpyaa iliyo andikwa na WaTanzania wote....Tujiongoze wenyewe....
Hapo Mkuu nimekuelewa. Haya matatizo kwa Watz siyo bahati mbaya, bali ni makusudi kabisa ili kutuondoa kwenye reli ya kudai Katiba Mpya iliyo bora.
 
Hakuna hujuma,

Uwezo wa kuongoza na kusimamia,ni mdogo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…