Kwa yanayoendelea ni wazi kuwa kuna watu wanamhujumu Rais Samia. Hatua za haraka zichukuliwe kuwadhibiti

Hadi Bando? Hakika hii ni Nchi ya malalamiko 😁😁

Hatua zimechukuliwa,Kuna mtu kalizwa kichwa huko Tanesco.

Pia Tanesco wametangaza kwamba siku yeyote kutoka Leo mgao utakoma.

Kuhusu Sukari Serikali Imetoa maelekezo kwamba wafanyabiashara waamua kuacha kuuza sukari au wauze Kwa bei iliyopo Ili Serikali ianze utaratibu Mpya.
 
Wewe K huwa unakera kinyama. Unafanya CCM ionekane ina watu wajinga
 
Msitupie watu mizigo, akishindwa msilaumu kundi lingine. Ameshindwa ndio maana tupo hapa, she's failed.
 
Kama umependa uongozi wake, usilalamike.
Maana ndio uongozi wake unayafanya hayo yote uliyoyaandika.
Utetezi wa kusema anahujumiwa ulikuwa zamani kwa sasa hauna nafasi.
 
Vipi mkuu na wewe unalalamika?.kwani skiku hizi haupigi mwingi???
Si maandamano ya CHADEMA hayana tija wananchi wameyapuza ??? Mbona nawe waja na changamoto zulezile za chadema?
Wacha waisome namba eeeeeeee. Ccm mbele kwa mbeleeeeeee.
 
Kama umependa uongozi wake, usilalamike.
Maana ndio uongozi wake unayafanya hayo yote uliyoyaandika.
Utetezi wa kusema anahujumiwa ulikuwa zamani kwa sasa hauna nafasi.
Hata Magufuli walisema anahujumiwa
 
Una utapiamlo wa akili, hujitambui wallah, unachotetea nini wakati bimkubwa nchi imemshinda? Huwezi kusema anahujumiwa wakati hata capacity yake tu ndogo.
Ingemshinda wewe nyumbu ungeoata fursa ya kuandamana kwa.kulindwa na Polisi?

Nchi ingemshinda wewe ungekuwa jnaingizwa dole mda huu
 
Ingemshinda wewe nyumbu ungeoata fursa ya kuandamana kwa.kulindwa na Polisi?

Nchi ingemshinda wewe ungekuwa jnaingizwa dole mda huu
Umekosa hoja unaanza kuingizana violence mkuu? Endelea kutetea buku7 yako.
 
Anahujumiwa kwani yeye yupo wapi, na kuwa kiongozi maana yake nini!
 
Hakuna hujuma,ni mfumo tu wa wana ccm na waendeshaji wanaoutumia sahivi

Ova
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…