Kwa Yanga hii,Kaze utakosolewa na kushutumiwa sanaaa

Wa viwango vizuri na bei nzuri, Mukoko , Kisindia , Ntabanzokiza, Yacuba, Moro,

Sent from my SM-J610F using JamiiForums mobile app
Hao ndiyo wachezaji wa viwango.Hauko siriaz,na uko ndoto kabisa una kikosi bora cha ushindani ktk Africa.

mtaitisha press nyingi Sana kulalamikia kila kitu. Mkitoa droo mnalalamika, mkishinda goli moja mnalalamika as if kwamba nyie ni bora sana, au timu nyingine nao hawahitaji ushindi.

Ngoja Simba ashinde viporo vyake vyote aongoze ligi tuone km mtamtoa hapo.
 
Kilichobaki Yanga ni ukubwa wa hilo jina tu, kwa upande wa mpira pale hamna timu. Itawachukua muda kuja kushtuka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…