Kwa Zari na Diamond tuna ya kujifunza

Kwa Zari na Diamond tuna ya kujifunza

Yaan ishu ya mondi kuachana na bi tukinao inataka kufanywa kuuuuubwa wakati huku kitaa ni ishu za kawaida tu...

Wala haifanywi kubwa, tunajifunza kupitia wao waliokuwa wanajionyesha maisha yao hadharani. Hizo za kitaani hazikuwa mtandaoni kama hizi. Unafikiri ni jambo zuri kuanika mahusiano yako mtandaoni?
 
Nachojua Ivan na zari walitengana mda before ata hajaanza date na diamond.kipelenge hicho umechemka

Kweli drama za mitandaoni zilikua too much si kuanzia bafuni,kitandani mpaka sebleni.kipengele hichi kwanza walituharibia watoto
Naimani zari atakua amejifunza kutokana na makosa ila kwa dai hii ni asili yake kuanzia kwa wema,penny hadi zari

Nilisikia Ivan aliomba msamaha mara nyingi na Zari hakutaka kusamehe... any way hatuingilii maisha yao ila tunajifunza kitu. Inaonekana Ivan alimpenda Zari kwa dhati.
 
Hakuna hata cha kujifunza, kubwagana ni kawaida. Kwani alijua kumzalia mwanaume ndio kupendwa?
Utamzalia, utampa ndogo, utazungusha mauno kumwagwa kupo pale pale. Haina Guarantee hiyo, watajua wenyewe na mapenzi yao ya kwenye mitandao!
 
We umejifunza nini kwa hao pimbi


Nimejifunza kutoanika mahusiano yangu mtandaoni
Kutoweka picha cha kushikana shikana na za kitandani mtandaoni ambazo mwisho wa siku zitanisuta.
Wewe je?
 
Hakuna cha kujifunza kwenye mahusiano ya kiuasherati. Mwenye Enzi Mungu katika vitabu vyote amekataza zinaa na uasherati (adultery and fornication) HAKUNA CHA KUJIFUNZA WAKAKOJOE WAKALALE.
 
Hakuna cha kujifunza kwenye mahusiano ya kiuasherati. Mwenye Enzi Mungu katika vitabu vyote amekataza zinaa na uasherati (adultery and fornication) HAKUNA CHA KUJIFUNZA WAKAKOJOE WAKALALE.

Hakuna jambo lisilokuwa na mafunzo.

Hapo tumejifunza tusiwe waasherati. Tuache zinaaa
 
Hakuna jambo lisilokuwa na mafunzo.

Hapo tumejifunza tusiwe waasherati. Tuache zinaaa
Hayo mafunzo hawaitaji hao wasanii ili uyapate. Yako kwenye Vitabu vyote vitakatifu, nenda kasome.
 
Hakuna hata cha kujifunza, kubwagana ni kawaida. Kwani alijua kumzalia mwanaume ndio kupendwa?
Utamzalia, utampa ndogo, utazungusha mauno kumwagwa kupo pale pale. Haina Guarantee hiyo, watajua wenyewe na mapenzi yao ya kwenye mitandao!

Hujajifunza kitu hapo?

Kumzalia mwanamume sio kupendwa. Hili ni fundisho tosha.
Wengi wanadhani ukimpata mwanamume ukamzalia chap chap basi umemkamata.. wanakosea.
 
Unajua sababu zake za kuachana na Ivan? Unajua wanaume aliodate nao kabla ya chibu?. Nani kakwambia alimkimbia Ivan akaenda kwa chibu. By that time alishaachana na Ivan muda tu
 
Hakuna cha kujifunza kwenye mahusiano ya kiuasherati. Mwenye Enzi Mungu katika vitabu vyote amekataza zinaa na uasherati (adultery and fornication) HAKUNA CHA KUJIFUNZA WAKAKOJOE WAKALALE.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] fact!
 
Hayo mafunzo hawaitaji hao wasanii ili uyapate. Yako kwenye Vitabu vyote vitakatifu, nenda kasome.

Sio wote wanasoma vitabu vitakatifu. Wakisoma humu watashawishika kusoma vitabu hivyo. Wengi wanajifunza kutokana na makosa ya wengine
 
Nilisikia Ivan aliomba msamaha mara nyingi na Zari hakutaka kusamehe... any way hatuingilii maisha yao ila tunajifunza kitu. Inaonekana Ivan alimpenda Zari kwa dhati.
Mwenzangu siri ya kata aijuaye mtungi,huwezi jua aliona enough is enough.......maana walitoka mbali,undo maana Ivan aliacha kila kitu under control of zari.
 
Sio wote wanasoma vitabu vitakatifu. Wakisoma humu watashawishika kusoma vitabu hivyo. Wengi wanajifunza kutokana na makosa ya wengine
Ukikaa kwenye Taifa ambalo watu hawakosei maana yake utakua mbumbumbu, jiongeze basi kidogo.
 
Binafsi Nafikir Zari Alikuwa Mshaur Mzur Wa Dai Katika Mambo Yake Ya Entertainment Dats Y Dai Akawa Mbali Zaid

Kuondoka Kwa Zari Kwangu Mim Binafsi Naweza Kusema Linaweza Kuwa Pigo Kubwa Sana Kwa Lips Denda
 
Hujajifunza kitu hapo?

Kumzalia mwanamume sio kupendwa. Hili ni fundisho tosha.
Wengi wanadhani ukimpata mwanamume ukamzalia chap chap basi umemkamata.. wanakosea.
Hakuna nilichojifunza mkuu. Ingekuwa ni ndoa ya halali labda wangetufundisha kitu. Mi naona masinemasinema.
 
Kulambana kwapa kote kule maskini kuzarau wagumba kote kule kisa mondi ,leo hii ataweka wapi sura yake
hivi hii dunia ukitaka kuishi kwa tabu uishi kwa kuangalia watu watafanyeje.
mimi nikiamua kitu na nikawa na iman kuwa itaniletea amani huwa nafanya. Na imekuwa ikiniletea mafanikio makubwa sana
 
Hakuna nilichojifunza mkuu. Ingekuwa ni ndoa ya halali labda wangetufundisha kitu. Mi naona masinemasinema.

Ha ha haaa haya Kiongozi. Ila haya masinemasinema ni kwa kuwa hawakuwa na ndoa. Sasa na wewe usijefanya masinema kabla ya ndoa😀
 
Back
Top Bottom