Kwa Zari na Diamond tuna ya kujifunza

Kwa Zari na Diamond tuna ya kujifunza

Moja ya vitu vigumu sana kupatikana kwa sasa ni mwanamke mwenye mapenzi ya dhati kwa mwanaume mmoja, mwanamke anayejitegemea na asiyetegemea fadhila ya wanaume kuishi na zaidi mwanamke mwenye kuvumilia machungu kutoka kwa mwanaume.

Mtanisamehe sana dada zangu lakini kwa sasa zaidi ya 90% ya wanawake wa kitanzania wana price tags, yaani mtu akifika bei kwake hana neno na haijalishi ameolewa ama bado yupo yupo. Mtakubaliana na mimi kwenye hili kwa kufuatilia mtaani kwako tu na mambo yanayoendelea huko.

Kabla ya Diamond kukutana na Zari tayari alishakuwa na mahusiano na wanawake lukuki lakini katika hao hakuna aliyekuwa anamsaidia sana Diamond kwenda mbele. Wengi walimgeuza Danga. Hakuna Kati yao wote waliowahi kumuuliza “What exactly did he desire”

Zari gave Diamond sikio kitu ambacho hakuna mtu alimpa before. Diamond needed to be a father Zari amempa 2 kids, Zari had connections akampa zote Diamond, Zari hakuwa anaomba magari ya Diamond coz anayo mengi zaidi, Zari hakuwa anaomba pesa za Brazilian hair coz she could afford them Ila tu alihakikisha Diamond invests for his and his children future. As a man this is a woman to keep at all cost kwasababu she’s an asset.

Pamoja na umalaya wake bado Diamond anajua umuhimu wa Zari kwenye maendeleo yake na ndio maana aliwahi kusema yuko radhi kutembea kwa magoti mpaka Afrika kusini ili tu kumuomba radhi Zari.

Mwisho hili litakuwa pigo kubwa kwa Diamond kuliko Zari
 
Wewe mtoa mada acha zako.

Zari kaamua kuvunja mahusiano baada yakuona hayaeleweki,, MTU anayeamua kuvunja mahusiano huwa Haumii kwasababu anakua ameshajitayarisha kiakili kimwli ,ndomaana unaona hajaandika kwa majonziiiiiii .

Watu wanaoumizwa na mapenzi niwale wanaoachwa tena wanaachwa bila hata sababu yamsingi.

Sasa badala yakukaa umuwazie zary oohhh kaumia,, its better unywe uji !!.

Zary nimwanamke mwenye akili sanaaaaa zaidi ya unavyomchukua !!.
 
Nikifanya kabla ya ndoa ni masinema tu ambayo kuyajadili ni kupoteza muda.
Ha ha haaa haya Kiongozi. Ila haya masinemasinema ni kwa kuwa hawakuwa na ndoa. Sasa na wewe usijefanya masinema kabla ya ndoa😀
 
Mimi sioni kama zari ana wakati mgumu,naona alijipanga vizuri kwa hili jambo kutokea.kwahiyo alisubiri siku maalumu kuweka wazi, kuhusu mapungufu wao ndio wanajuana,tusihukumu upande wowote,ya dai yameonekana wazi! Ya zari je? Huwezi jua ukute dai alikuwa anafanya yote ili kuupoza moyo. Vp kama akiyaanika wazi?
Nahofia tu zari akileta mambo ya law of suit... Kama alivyowahi kutishia.

Yote kwa yote kila mtu apambane na hali ya mahusiano yake! Ni kawaida tu mtu mnayependana kufikia wakati mnashindwa kwenda njia moja.
Sawa kabisaaa, yaaan Mtoa mada niwatu waina yao.

Zari kaamua kuachaaa.

Yeye anasema Zari kaachwa.

Nikm shetan alivyowambia akina Adamu na Hawa ,Mkila hakika hamtokufa ,,, wakat Mungu aliwambia ,Mkika mtakufa Hakika.

Mtoa mada , jaribu kustick na alichoandika zary nasio we umgeuzie .
 
Wewe ulitaka kijana wetu aoe bibi
Screenshot_2018-02-03-11-39-03.png
 
wahenga wansema

u cant be wise ,and in love at the same time....

kipindi anatukomesha wabongo... mara wanashikana makalio ,mara wanabambiana... maneno machafu machafu anawatolea watu...

hakukumbuka kwa mba yeye ni mtu mzima, hizo dignity,self billionaire na bla bla zingine kama zipo....
 
Zari gave Diamond sikio kitu ambacho hakuna mtu alimpa before. Diamond needed to be a father Zari amempa 2 kids, Zari had connections akampa zote Diamond, Zari hakuwa anaomba magari ya Diamond coz anayo mengi zaidi, Zari hakuwa anaomba pesa za Brazilian hair coz she could afford them Ila tu alihakikisha Diamond invests for his and his children future. As a man this is a woman to keep at all cost kwasababu she’s an asset.

Pamoja na umalaya wake bado Diamond anajua umuhimu wa Zari kwenye maendeleo yake na ndio maana aliwahi kusema yuko radhi kutembea kwa magoti mpaka Afrika kusini ili tu kumuomba radhi Zari.

Hebu tupe ushahidi wa hayo niliyoyawekea red....isije kuwa maumivu yako yako built on a lie...
 
Hakuna aliye mkamilifu duniani zari alimwacha mumewe akakimbilia kwa Dai akidhani huko ndio kuna nafuu lazima tuelewe kila binadamu ana mapungufu ingawa yanatofautiana jifunze kutorudia kosa.

Kila mtenda hutendwa hili liko wazi ona Ivan alivyotendwa na kuumia alipoachwa na Zari leo zamu ya Zari kuumia tena ameumizwa zaidi maana amezalishwa na bado amebwagwa.

Hii haimpi Dai unafuu wowote lazima naye atatendwa na atadhalilishwa na kupelekwa mahakamani na guilty haitaisha moyoni mwake.

Matumizi ya mtandao, hili limekuwa janga sasa mtandaoni sio mahali pa kuanika mapungufu ya ndoa/mahusiano yako na sio mahali pa kuwaringishia watu kiben10 chako.

Usitupie picha zako mapenzi watu waone unapendwa na unapigwa denda vizuri fikiria zile picha za Dai na Zari za kushikana shikana leo zina thamani gani kwao yale matambo kwa snap-chat leo yanageuka kukuzomea.

Wadau toeni mafunzo hapa ili mambo yasiharibike kwa wengine bali wajifunze.


Acha uwongo wewe!.

Zari alidate na watu wengine baada ya kuachanana Ivan. Hakutoka kwa Ivan ili akimbilie kwe Dai. Huu ni uwongo nambari moja.

Uwongo mwingine ni kusema Zari kaachwa wakati Zari ndiye amemuacha Dai. Acheni kujifariji. Juzi Dai akiwa Kigali alisema ana mpenzi mmoja Zari, na kwamba anampenda sana.

Kupendwa na kupenda hadharani ni satisfaction ya wakati huko kulingana na emotional requirements na si akiba kwa kesho. You need to show love to your love one. Stop finding excuses for not being romantic!. Eti nikiwa romantic kesho nikiachana nitasemwa!. Wapiii?????? How do you know tomorrow, utakuwa na hizo hisia kali ulizonazo leo za mapenzi?

Bado Zari is a Hero kwa sababu ameweka bayana hawezi ku compromise dignity yake, kwa kuishi na mwanamme kahaba asiyechagua ili mradi sketi tu.

Somo nikwamba wanaume wa kiswahili tunatia aibu. Tuache kujidhalilisha, tuwapende wandani wetu badala ya kuruka ruka bila mapngo na kuishia kuzaa watoto kama kuku wa kienyeji. Kutembea na wanawake kibao bila mpango si ushujaa wala ulijari bali ni ukahaba unaodhalilisha familia na vizazi vijavyo!.

Diamondi ambe Mungu ampe maisha marefu. Kinyume ch a hapo damu anazochanganya hizo, mke atakayeoa awe tayari kulea watoto wa kambo kutoka mama watatu ama zaidi na damu tofauti, na viasili tofauti na haiba tofauti. Mfano Zari, hata neno, yeye tayari anawatoto wake na anaweza kuwatunza bila shida. Kuna mabeta, naye anazaa watoto akitegemwa mke wa dai atawalea. Kuna huyu wa juzi, naye anategemea azae mke wa dai alee, kuna weme naye anategemea azaa, mke wa dai alee, bado kuna wa rwanda naye anategemea azeo mke wa dai alee. kuna wa big bro naye anategemea azao mke wa dai alee!. Huyo mke mwenye kulea timu ya mpira kutoka kwa wanawake wa nje, hayupo kasoro Zari tu!.

Zari alimpenda dai kwa mapenzi yakweli. Hivyo vikahaba vingine vinahitaji fedha na fame tu!. Hakuna kitu, hakuna hekima, hakuna uaminifu, hakkuna uvumilivu.

Dai kachezea shilingi chooni ambayo ataijutia!. Hakuna mwanamke kama Zari kati ya hao wote anaotangatanga nao!. Na mwisho wa Dai bila kurekebisha tabia, utaishia kwenye level ya uswahili uswahili tu!.

Kwa kwlei inasikitisha sana, Dai kukosa akili kiasi cha kupoteza lulu kwa ajili ya mimalayA. Inasikitisha mjuu wangu. Lakini Mungu ni Mkubwa. Tumwachie Yeye.
 
Somo nikwamba wanaume wa kiswahili tunatia aibu. Tuache kujidhalilisha, tuwapende wandani wetu badala ya kuruka ruka bila mapngo na kuishia kuzaa watoto kama kuku wa kienyeji. Kutembea na wanawake kibao bila mpango si ushujaa wala ulijari bali ni ukahaba unaodhalilisha familia na vizazi vijavyo!.

Well said Mtu wangu wa nguvu
 
Sawa kabisaaa, yaaan Mtoa mada niwatu waina yao.

Zari kaamua kuachaaa.

Yeye anasema Zari kaachwa.

Nikm shetan alivyowambia akina Adamu na Hawa ,Mkila hakika hamtokufa ,,, wakat Mungu aliwambia ,Mkika mtakufa Hakika.

Mtoa mada , jaribu kustick na alichoandika zary nasio we umgeuzie .

Sawa nimekuelewa. Zari kaacha.
 
Back
Top Bottom