Kwa Zari na Diamond tuna ya kujifunza

Bado dogo janja. Mapenzi na Umri japokua muta Bisha.
 
Watuwazima wanaharibu ndoazao wanaenda kuishi na wahuni. Wahuni stress tuu na mloobaki tarajieni ya Zari kuwafika. Sina haha ya kuwataja majina mnajijua.
 
Hakuna hata cha kujifunza, kubwagana ni kawaida. Kwani alijua kumzalia mwanaume ndio kupendwa?
Utamzalia, utampa ndogo, utazungusha mauno kumwagwa kupo pale pale. Haina Guarantee hiyo, watajua wenyewe na mapenzi yao ya kwenye mitandao!
Basi poa
 
TUNAYAONA!
YET ,HAYAJESHA!
 
Chai
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…