Mama Sabrina
JF-Expert Member
- Jul 30, 2016
- 16,620
- 27,589
Nawe pia my diaHeri ya Xmas mama nanihiii
We acha tu.
Nahama jiji...
Unajua ukiona maisha ya mume yanakubana, unayavulia mbaliiiiii
Nawe pia my dia
WaooooooKaribu kanda ya kati mkuu, tupo poa huku. Nakupongeza kwa kujitahidi kuondokana na ujinga wa Dar na huenda sasa baada ya miezi utaanza kuwa jasiri na utaelewa kwanini wanaume wa Dar wanachekwa na jamii hapa Tanzania.
Talaka ni tiketi ya kusonga mbele
Hahahah
Usinipe bhana.
Hahahahaha
Asante sana mkuu.We shall miss you!
Japo tulikupenda sana lakini bwana mungu kakupenda zaidi!
Dah sorry namaanisha Japo Dar walikupenda Lakini Dodoma imekupenda zaidi. Uishi kwa amani hasa utakapoanza mwaka mpya. Huko kuna Dodoma wine kitu orijinali proudly Tanzanian .
Dar si unajua kila kitu kimekuja na merikebu mpaka toothpick.
WaoooooMadame Upo Jiji Jipya?
Mi nishahamisha makazi huko,
Ngoja nitambikie huku kwanza, nikija huko ni mwendo wa Jumlajumlaaa....
Jamani...huyo ni mdogo wangu, nataka nipate wifi hivoooo
Hahhha
Picha nitaitoa baadae mkuu
HahahahaHahaha ππ ukiwa mwongo uwe na kumbukumbu siuliniambiaga ndio bebezzz anakuweka hapa mjini maloveee kama yoteee au ulikuwa unanitisha nisijiongezeππππ