General Mangi
JF-Expert Member
- Dec 21, 2013
- 15,303
- 23,064
Juzi nilikuwepo Rainbow, kulikuwa na tamasha la Jack Daniel....Waooooo
Dodoma wing tunazidi kujaa jamani.
Mie nimekuja juzi, muda si mrefu naibuka Malaika lounge.
Ukitia mguu tu....tutafutane
Leo upo wap?Waoooo
Rainbow nilikuwa jana Jumapili.
Pazuri sana pale.
Nadhani pale nitaibuka tena Ijumaa
Poa,Leo nina mpango wa kwenda pale Malaika.
Nikalewe mpaka alfajiri...nikalale
Hahahaha
Wana mbona mna kumbukumbu hivo.
Anyaway....ila si unajua sie wanawake ni kaka vinyonga?
Tunabadilika kulingana na rangi ya mti.
Nilikuwa nabadilikia kwako....sema umenistukia
Dah!!!πππpole sana maana umekutana na database mafile yako yote ninayo kwenye system yangu nasubiri ujipindue tuu nikulipue π₯π£π£π£π₯π₯
Kweli beautiful liar
ππππ
Dah!!!
Aibu nimeona mimi ujue.
Ila dah!!
Kweli ukiwa muongo, uwe na kumbukumbu aisee
Pamoja sanaOkayyy
Nakutafuta
Hapana Bilionea kid.Hamelewekagi nyie
Kesho ukiamka utakuja na thread dar siami ng'oo mji wa maraha no karahaa
ππππππ