Kwaheri DAR ES SALAAM, Madame B nimehamia rasmi mkoani Dodoma. DODOMA NIPOKEENI.

Kwaheri DAR ES SALAAM, Madame B nimehamia rasmi mkoani Dodoma. DODOMA NIPOKEENI.

Hahahaha
Wana mbona mna kumbukumbu hivo.
Anyaway....ila si unajua sie wanawake ni kaka vinyonga?
Tunabadilika kulingana na rangi ya mti.
Nilikuwa nabadilikia kwako....sema umenistukia

😂😂😂pole sana maana umekutana na database mafile yako yote ninayo kwenye system yangu nasubiri ujipindue tuu nikulipue 🔥💣💣💣💥💥

Kweli beautiful liar

😂😂😂😂
 
😂😂😂pole sana maana umekutana na database mafile yako yote ninayo kwenye system yangu nasubiri ujipindue tuu nikulipue 🔥💣💣💣💥💥

Kweli beautiful liar

😂😂😂😂
Dah!!!
Aibu nimeona mimi ujue.
Ila dah!!
Kweli ukiwa muongo, uwe na kumbukumbu aisee
 
Back
Top Bottom