Vijana acheni kulialia chapeni kazi kumuenzi Magufuli.
Mwanaume mzima unakuja kuanzisha Uzi wa Kuonewa huruma.
Umemaliza shemeji....Amina
Hata mitume waliondoka, Yesu na Mohammed wenye wafuasi dunia nzima leo hawapo lakini wafuasi wao wameilinda imani
Watanzania wake kwa waume, viongozi na wasio viongozi tulinde na kuyaenzi mema yote aliyofanya John Pombe Magufuli wakati wa uhai wake. Hiyo ndio itakua faraja yetu
Samia hawezi kuwa Magufuli wala Magufuli hakuwahi kuwa kikwete, kikubwa ni kuendeleza pale alipoishia Magufuli na kuilinda Tanzania yetu
View attachment 1733089
Umemaliza shemeji....
D hajambo lakini?
Ukweli always unauma ndio maana umeeka mavidio haya any way haina haja kushindana utawadangaya hao wajinga wasiojua mambo.Kumbe wewe mbaguzi eee, wakati Magufuli anawanachagua hao mawaziri Samia alikuambia hakushirikishwa? Acha kufikiria vitu vya kukurudisha nyuma.
Halafu nikuulize swali Samia na Majaliwa walipochaguliwa na Magufuli tena mara ya pili walikua wakristu?
Walinzi na wasaidizi wa Magufuli wote walikua wakristu?
Jaji mkuu, msemaji mkuu wa wa serikali, mkuu wa usalama wa taifa nao walikua waislam wakabadili dini ndio wakateuliwe?
Acha fikra za kimaskini, watu kama nyie ndio mnaotuharibia ustawi wa taifa
Nafasi za mawazi wapewe wenye uwezo bila kuangalia dini wala jinsia
Nakupa na bonus ya video ujifunze maana kuna mambo ukiyaongea kwenye Tanzania ya leo yanakunya udharaulike na serikali na wananchi wanamjua Magufuli
View attachment 1733081
View attachment 1733070
Ahsante kwa salamu...Asante shemeji,
D hajambo kabisa, anakusalimia
Ukurasa wa pombe umefungwa. Sasa tupo ukurasa wa suluhu tu.Ni mengi yatakimbia na kuonekana kama ndoto iliyootwa usiku na kusimuliwa na baadae kutoweka.Inaeleweka wazi na bila ya chenga zozote kuwa Mheshimiwa marehemu Raisi John Pombe Magufuli alikuwa kioo cha utawala bora Tanzania, kwa maana mema yake yalionekana na mabaya yake hayakujificha.
Kwa mtazamo huo yeyote yule atakaechaguliwa atasoma kutoka kwa marehemu na ataelewa Watanzania walipenda kitu gani na walichukizwa na jambo gani, vyombo vingi vya serikali vilikaa sawa kwa wananchi na vyombo hivyohivyo vilitumika kuikiza haki.
Wananchi wanaosemekana ni wanyonge walitumika kama ukuta mkubwa unaozuia kuona yaliyo ndani na ndio hivyo hivyo sifa zilipatikana nyingi kwani maovu yalikuwa machache na yanahesabika japo kuna yasiyofutika na yanayotia huzuni kwa wachache.
Kuna vyombo au viongozi wa Serikali waliokuwa wameficha makucha yao hili ni kundi lenye hasira sana ,maana wakati ule wakiogopa hukumu za papo kwa papo ,zinazotka kwenye mamlaka na sio mahakama.
Sasa tuelewe mazuri yote yalitokana na Raisi mwenyewe yeye kama yeye na ukichunguza mabaya yote yalitokana na Chama chake kwa ujumla wake na ujumla wao.
Rais alikuwa na roho nzuri sana lakini chama chake kimejaa walio na roho mbaya, Rais aliweza kuwadhibiti hawa katika mamlaka yake na kwenye zile njia zitakazompaisha kama ni mpenda maendeleo na mpenda kuona mwananchi wa chini hadhulumiwi anahakikisha anawasaidia hata kwa kutoa hela zake mfukoni, akiwajengea mazingira rafiki ya kufanya kazi, si bodaboda, si mamantilie si wamachinga na wengine wengi.
Hili ndilo lilompa uthubutu wa kupendwa huku uraiani, mambo makubwa ambayo yaliutia doa utawala wake yapo na yataendelea kuwepo. Rais aliepo madarakani anaweza kuyatumia hayo yakazidi kumpa respect kwa upande wake.
Ahhhh shemejiiiiAhsante kwa salamu...
Umefika muda sasa wa kumtafutia mdogo wake. Ni haki yake ujue
Ukweli always unauma ndio maana umeeka mavidio haya any way haina haja kushindana utawadangaya hao wajinga wasiojua mambo.
Uko sahihi lakini yeye tatizo lake aliendekeza upumbavu ili kukilinda chama dhalimu cha ccm.Ni mengi yatakimbia na kuonekana kama ndoto iliyootwa usiku na kusimuliwa na baadae kutoweka.Inaeleweka wazi na bila ya chenga zozote kuwa Mheshimiwa marehemu Raisi John Pombe Magufuli alikuwa kioo cha utawala bora Tanzania, kwa maana mema yake yalionekana na mabaya yake hayakujificha.
Kwa mtazamo huo yeyote yule atakaechaguliwa atasoma kutoka kwa marehemu na ataelewa Watanzania walipenda kitu gani na walichukizwa na jambo gani, vyombo vingi vya serikali vilikaa sawa kwa wananchi na vyombo hivyohivyo vilitumika kuikiza haki.
Wananchi wanaosemekana ni wanyonge walitumika kama ukuta mkubwa unaozuia kuona yaliyo ndani na ndio hivyo hivyo sifa zilipatikana nyingi kwani maovu yalikuwa machache na yanahesabika japo kuna yasiyofutika na yanayotia huzuni kwa wachache.
Kuna vyombo au viongozi wa Serikali waliokuwa wameficha makucha yao hili ni kundi lenye hasira sana ,maana wakati ule wakiogopa hukumu za papo kwa papo ,zinazotka kwenye mamlaka na sio mahakama.
Sasa tuelewe mazuri yote yalitokana na Raisi mwenyewe yeye kama yeye na ukichunguza mabaya yote yalitokana na Chama chake kwa ujumla wake na ujumla wao.
Rais alikuwa na roho nzuri sana lakini chama chake kimejaa walio na roho mbaya, Rais aliweza kuwadhibiti hawa katika mamlaka yake na kwenye zile njia zitakazompaisha kama ni mpenda maendeleo na mpenda kuona mwananchi wa chini hadhulumiwi anahakikisha anawasaidia hata kwa kutoa hela zake mfukoni, akiwajengea mazingira rafiki ya kufanya kazi, si bodaboda, si mamantilie si wamachinga na wengine wengi.
Hili ndilo lilompa uthubutu wa kupendwa huku uraiani, mambo makubwa ambayo yaliutia doa utawala wake yapo na yataendelea kuwepo. Rais aliepo madarakani anaweza kuyatumia hayo yakazidi kumpa respect kwa upande wake.
Usimbanie D shemeji. Anahitaji mdogo wake wa kucheza naye...Ahhhh shemejiiii
Ila uganda wana bahati sana na marais...
Hehehe😃😃😃Usimbanie D shemeji. Anahitaji mdogo wake wa kucheza naye...
Aliwadhulumu mamantilie,machinga na wanyonge wake kwa kukataa kuwapatia Katiba itakayowalinda na kuwawezesha kufanya shughuli zao kwa Uhuru na kuzirasimisha akidai siyo kipaumbele chake.Ni mengi yatakimbia na kuonekana kama ndoto iliyootwa usiku na kusimuliwa na baadae kutoweka.Inaeleweka wazi na bila ya chenga zozote kuwa Mheshimiwa marehemu Raisi John Pombe Magufuli alikuwa kioo cha utawala bora Tanzania, kwa maana mema yake yalionekana na mabaya yake hayakujificha.
Kwa mtazamo huo yeyote yule atakaechaguliwa atasoma kutoka kwa marehemu na ataelewa Watanzania walipenda kitu gani na walichukizwa na jambo gani, vyombo vingi vya serikali vilikaa sawa kwa wananchi na vyombo hivyohivyo vilitumika kuikiza haki.
Wananchi wanaosemekana ni wanyonge walitumika kama ukuta mkubwa unaozuia kuona yaliyo ndani na ndio hivyo hivyo sifa zilipatikana nyingi kwani maovu yalikuwa machache na yanahesabika japo kuna yasiyofutika na yanayotia huzuni kwa wachache.
Kuna vyombo au viongozi wa Serikali waliokuwa wameficha makucha yao hili ni kundi lenye hasira sana ,maana wakati ule wakiogopa hukumu za papo kwa papo ,zinazotka kwenye mamlaka na sio mahakama.
Sasa tuelewe mazuri yote yalitokana na Raisi mwenyewe yeye kama yeye na ukichunguza mabaya yote yalitokana na Chama chake kwa ujumla wake na ujumla wao.
Rais alikuwa na roho nzuri sana lakini chama chake kimejaa walio na roho mbaya, Rais aliweza kuwadhibiti hawa katika mamlaka yake na kwenye zile njia zitakazompaisha kama ni mpenda maendeleo na mpenda kuona mwananchi wa chini hadhulumiwi anahakikisha anawasaidia hata kwa kutoa hela zake mfukoni, akiwajengea mazingira rafiki ya kufanya kazi, si bodaboda, si mamantilie si wamachinga na wengine wengi.
Hili ndilo lilompa uthubutu wa kupendwa huku uraiani, mambo makubwa ambayo yaliutia doa utawala wake yapo na yataendelea kuwepo. Rais aliepo madarakani anaweza kuyatumia hayo yakazidi kumpa respect kwa upande wake.
Waganda ni Ukabila tu ndio unaowasumbua Ukabila unawatia upofu wa kuona Museveni kawatoa wapi.Ila uganda wana bahati sana na marais...
Juzi nimeona mganda mmoja analalamika eti sala za waganda Mungu kazijibia Tanzania... hahahaa yani Magu imetokea bahati mbaya, ilikuwa aondoke wa Uganda
kwani weye uko wapii? Basi umeshindaaa nisalimie D mwambie zinatoka kwa anko.Jibu maswali niliyokuuliza acha kurukaruka kama chura
Samia alikuambia hakushirikishwa?
Samia na Majaliwa walipochaguliwa na Magufuli tena mara ya pili walikua wakristu?
Walinzi na wasaidizi wa Magufuli wote walikua wakristu?
Jaji mkuu, msemaji mkuu wa wa serikali, mkuu wa usalama wa taifa nao walikua waislam wakabadili dini kuwa wakristu ndio wakateuliwe?
Acha akili za kishirikina huu ni muda wa kushikana mikono kulijenga taifa letu
Waganda ni Ukabila tu ndio unaowasumbua Ukabila unawatia upofu wa kuona Museveni kawatoa wapi.
Mama yupo! Atakayemjaribu atakiona cha Moto!!Ni mengi yatakimbia na kuonekana kama ndoto iliyootwa usiku na kusimuliwa na baadae kutoweka.Inaeleweka wazi na bila ya chenga zozote kuwa Mheshimiwa marehemu Raisi John Pombe Magufuli alikuwa kioo cha utawala bora Tanzania, kwa maana mema yake yalionekana na mabaya yake hayakujificha.
Kwa mtazamo huo yeyote yule atakaechaguliwa atasoma kutoka kwa marehemu na ataelewa Watanzania walipenda kitu gani na walichukizwa na jambo gani, vyombo vingi vya serikali vilikaa sawa kwa wananchi na vyombo hivyohivyo vilitumika kuikiza haki.
Wananchi wanaosemekana ni wanyonge walitumika kama ukuta mkubwa unaozuia kuona yaliyo ndani na ndio hivyo hivyo sifa zilipatikana nyingi kwani maovu yalikuwa machache na yanahesabika japo kuna yasiyofutika na yanayotia huzuni kwa wachache.
Kuna vyombo au viongozi wa Serikali waliokuwa wameficha makucha yao hili ni kundi lenye hasira sana ,maana wakati ule wakiogopa hukumu za papo kwa papo ,zinazotka kwenye mamlaka na sio mahakama.
Sasa tuelewe mazuri yote yalitokana na Raisi mwenyewe yeye kama yeye na ukichunguza mabaya yote yalitokana na Chama chake kwa ujumla wake na ujumla wao.
Rais alikuwa na roho nzuri sana lakini chama chake kimejaa walio na roho mbaya, Rais aliweza kuwadhibiti hawa katika mamlaka yake na kwenye zile njia zitakazompaisha kama ni mpenda maendeleo na mpenda kuona mwananchi wa chini hadhulumiwi anahakikisha anawasaidia hata kwa kutoa hela zake mfukoni, akiwajengea mazingira rafiki ya kufanya kazi, si bodaboda, si mamantilie si wamachinga na wengine wengi.
Hili ndilo lilompa uthubutu wa kupendwa huku uraiani, mambo makubwa ambayo yaliutia doa utawala wake yapo na yataendelea kuwepo. Rais aliepo madarakani anaweza kuyatumia hayo yakazidi kumpa respect kwa upande wake.
kwani weye uko wapii? Basi umeshindaaa nisalimie D mwambie zinatoka kwa anko.
wajinga tu hao nchi ilipata uhuru tangu 1961 sasa 2015 imekuwa ni nyimbo zisizo na manufaa mpaka mungu akaamuwa kumchukua kiongozi kabla ya wakati kwa sababu sifa na mjitukuzo yamezidi.Ukiwasikiliza CCM unaweza sema nchi imepata uhuru 2015