Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
watu wamekua wakinisumbua sana kwenye simu usiku silali etu tutoke out dahh! kisa jamii forum ahaa naondoka nimechoka
Bishanga sielewielewi,what is the issue here?
mbona wakati unagawa hiyo namba hukutupa taarifa?
Kama ambavyo ulifanya kwenye hiyo namba kimya kimya ungeondoka bila kuaga,
unatuaga ili tufanyeje sasa?
😳🤔Huyu alifariki? 🙌Ulitumwa utoe namba yako ya simu mkomage na nyie saa nyingine unagawa namba kama unauza karanga????
🤨😳🤔Huyu alifariki? 🙌
Sijaelewa kwamba huyu mtu alifariki?Miaka kumi na tatu nyuma alooh..... Nikiwa kijijini kwetu huko!
Kuna mwingine naona R.I.P am feeling sorry to he/she....
secretarybird Bolotoba makutupora Hovering
Picha sijalielewa mkuu wa kitengo 😁Miaka kumi na tatu nyuma alooh..... Nikiwa kijijini kwetu huko!
Kuna mwingine naona R.I.P am feeling sorry to he/she....
secretarybird Bolotoba makutupora Hovering
Pole dada😳🤔Huyu alifariki? 🙌
Rest in peace ,Dah!Ulitumwa utoe namba yako ya simu mkomage na nyie saa nyingine unagawa namba kama unauza karanga????
Hata Mimi sijamsoma jamaa sijui yupo hai au laPicha sijalielewa mkuu wa kitengo 😁
Kuna mmoja kaandikiwa R.I.P ko huwa nikiona hivyo naacha kusoma hata Uzi wenyeweSijaelewa kwamba huyu mtu alifariki?
Ndo life hiyo mkuu, 🥺🥺😳🤔Huyu alifariki? 🙌
Tunapaswa kumshukuru Mungu kwa uhai! Hakuna maiti inayoweza kupanga Malengo na kutafuta mikakati ya kutimiza Malengo.Kuna mmoja kaandikiwa R.I.P ko huwa nikiona hivyo naacha kusoma hata Uzi wenyewe