Hakika alafu mbona kama tunaweza fungua youth talk show mzee YouTube tukawa na mjadala na Mikasa fulani ya kuhamasisha vijana Monetary doctorI have learnt this kwenye maisha yangu!
Kuna namna Mungu anaweza kuwatanisha pasipo kutegemea ila akawa na kusudi kubwa sana na umoja wenu!
Who knows? Pengine Mungu ana jambo anataka kulifanya kupitia sisi!
Mimi siku mambo yangu yakikaa sawa! Lazima tuonane hata huyo kichwa panzi mlevi Bolotoba π nimemwambia
Apatapa surprise yangu ya kumtembelea pasipo kutegemea
Shikamoo baba!Utasalimiage baba zako
Kweli mkuu ... Tujifiche kwani sisi ni magaidiii?Hilo
naamini huwa linatokea kabisa.....
Ikiwa mmeelewana sioni haja ya mtu kujificha ficha kaka!!
Karibu sana uje kujaribu makange pwezaNakula nyama nyama...... Supu ya utumbo
Hahahaha wazo zuri kabisa mm ntaomba nirudi shule nikasome saikolojia hata certificateHakika alafu mbona kama tunaweza fungua youth talk show mzee YouTube tukawa na mjadala na Mikasa fulani ya kuhamasisha vijana Monetary doctor
Nop hicho hicho ulinacho kichwaniHahahaha wazo zuri kabisa mm ntaomba nirudi shule nikasome saikolojia hata certificate
Pweza nilijaribu one day akanishinda bhn π π..... naishia kula vikachorii....Karibu sana uje kujaribu makange pweza
Nataka saikolojia basi tutafanya hivyo hivyo πNop hicho hicho ulinacho kichwani
Mimi sioni haja ya kujificha mzee wangu ili Hali maisha yetu yapo connected na watu! Pasi na watu hakuna aliye fanikiwa mwenyeweKweli mkuu ... Tujifiche kwani sisi ni magaidiii?
Kuna baba zako kina mzee mwanakijijiShikamoo baba!
Afu kijana mmoja mtulivu sana.... wengi humu akishasema mkubwa mm namsalimia huwa sina kujilinganisha na watu wazima kiumri
Kumbe hapo bamaga njia ya kila wakati nikienda sinza ama mwengeSijajua yule jamaa angu kama siku hizi ana uduvi na samaki ... Mara ya mwisho nilimkuta na pweza, mishikaki matunda n.k
Yupo pale bamaga opposite na chuo Cha ustawi wa jamii
Tutaenda siku moja kama upo dar
Hakika alafu mbona kama tunaweza fungua youth talk show mzee YouTube tukawa na mjadala na Mikasa fulani ya kuhamasisha vijana Monetary doctor
Leo hujanywa gongo π ... Ukiwa mzima una akili sana mzeee!Hakika alafu mbona kama tunaweza fungua youth talk show mzee YouTube tukawa na mjadala na Mikasa fulani ya kuhamasisha vijana Monetary doctor
Aseeh hongera sana....... Mwanao ana range ya 17yrs if yes na kama umepiga mpaka chuo...... Mm nakuwa first born kwa wenzio ambao hawakuendelea na shuleKuna baba zako kina mzee mwanakijiji
Wakati naingia jf nilikuwa dogo kama wewe sasa hv mwanangu yupo form4
Usijali Mimi nipo ntakupiga msasa kwenye HiloHahahaha wazo zuri kabisa mm ntaomba nirudi shule nikasome saikolojia hata certificate
Oooh hongera umefanyia shahada hii wapi bruh?Usijali Mimi nipo ntakupiga msasa kwenye Hilo
Nimefanya sana vipindi TBC1 hasa vipindi vya saikolojia ... Mie ni social worker eti
Nimeifanya Institute of Social Work hapo!Oooh hongera umefanyia shahada hii wapi bruh?
Najifunza kidg kidg hasa kuijua saikolojia vzr au kwa kiasi fulani!
Hongera sana! Bamaga mnaita ama sinza,Nimeifanya Institute of Social Work hapo!
Ni muhumi sana kuijua saikolojia inasaidia pia kuweza kuishi na watu wa kuwa sehemu ya msaada kwa wengine.
πππ DaaahHumu wengi wameoa nawatakukula hadi uzimie huoni unaagaaa
Inastusha na kuhuzunisha. Yupo mmoja hapahapa Jf aliaga kwenye thread yake ya ugumu wa maisha na jinsi sonona inamkabili.Miaka kumi na tatu nyuma alooh..... Nikiwa kijijini kwetu huko!
Kuna mwingine naona R.I.P am feeling sorry to he/she....
secretarybird Bolotoba makutupora Hovering