Hakika alafu mbona kama tunaweza fungua youth talk show mzee YouTube tukawa na mjadala na Mikasa fulani ya kuhamasisha vijana Monetary doctorI have learnt this kwenye maisha yangu!
Kuna namna Mungu anaweza kuwatanisha pasipo kutegemea ila akawa na kusudi kubwa sana na umoja wenu!
Who knows? Pengine Mungu ana jambo anataka kulifanya kupitia sisi!
Mimi siku mambo yangu yakikaa sawa! Lazima tuonane hata huyo kichwa panzi mlevi Bolotoba 😂 nimemwambia
Apatapa surprise yangu ya kumtembelea pasipo kutegemea