Mzee walikuwa hawana hamu nae. Kuna vibaraka wao wanashangilia kifo chake.Siku zilianza kukatika toka tangazo la kwanza la kufariki kwa aliyekuwa rais wa Tanzania John Pombe Magufuli...
Ahahahahhaha hapa jamaa hata akisema niletee demu mkali kwanza, nahisi ataletewa miaSiku zilianza kukatika toka tangazo la kwanza la kufariki kwa aliyekuwa rais wa Tanzania John Pombe Magufuli...
but hii hawa ni wachina. mara nyingi nimemsikia mzee akisema china ni marafiki wa kweliMzee walikuwa hawana hamu nae. Kuna vibaraka wao wanashangilia kifo chake.
Wachina sio kabisa.but hii hawa ni wachina. mara nyingi nimemsikia mzee akisema china ni marafiki wa kweli
Mbona amekula nao sana tu 10% tangu akiwa waziri wa ujenziMzee walikuwa hawana hamu nae. Kuna vibaraka wao wanashangilia kifo chake.
Ameenda kuwapigia magoti akawapeleka mpaka kijijini kwake wakamhonga hela kadhaa kule kama zawadi na akazipokea.Mbona amekula nao sana tu 10% tangu akiwa waziri wa ujenzi
Wewe utauza nchi kwa wadogo zake na khumbu.Kusema ukweli kutoka ndani ya moyo wangu mimi ni zaidi ya Jiwe. Nikiupata urais hii nchi itanishukuru.
Haelewi kitu, alikuwa hajui Dunia inavyoenda..China ni adversary wa West lakini haimaanishi ndio rafiki wa Africa, waulize Kenyabut hii hawa ni wachina. mara nyingi nimemsikia mzee akisema china ni marafiki wa kweli
Speculation and rumous is not a fact njoo na ushahidi.Mbona amekula nao sana tu 10% tangu akiwa waziri wa ujenzi
Ishu ni Idd Amin dictator kafa! Muuji kafa, Mobutu, BokasaMzee walikuwa hawana hamu nae. Kuna vibaraka wao wanashangilia kifo chake.
Wapaka m.avi huwa hamkosekani!Ameenda kuwapigia magoti akawapeleka mpaka kijijini kwake wakamhonga hela kadhaa kule kama zawadi na akazipokea.
Uviva huu hauna hata maana.
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app