TODAYS
JF-Expert Member
- Apr 30, 2014
- 14,747
- 24,250
Siku zilianza kukatika toka tangazo la kwanza la kufariki kwa aliyekuwa rais wa Tanzania John Pombe Magufuli.
Hebu niambie katika mazingira yalivyo hapo chini kwenye picha unaanzaje kukataa au kusema ngoja nisome tena mara ya pili.
Au kusema uvute hata pumzi kidogo kwa kunywa maji, labda uwaambie jamani eh ngojeni kidogo huu mkataba sijauelewa
Picha inaonyesha yote, kama ni ujambazi unafanyika hapo hadi wengine wanatamani wamsaidie kusaini.
Rest in peace JOHN P. MAGUFULI.
Hebu niambie katika mazingira yalivyo hapo chini kwenye picha unaanzaje kukataa au kusema ngoja nisome tena mara ya pili.
Au kusema uvute hata pumzi kidogo kwa kunywa maji, labda uwaambie jamani eh ngojeni kidogo huu mkataba sijauelewa
Picha inaonyesha yote, kama ni ujambazi unafanyika hapo hadi wengine wanatamani wamsaidie kusaini.
Rest in peace JOHN P. MAGUFULI.