Kwaheri Tulia, karibu sana Sugu jimboni Mbeya

Kwaheri Tulia, karibu sana Sugu jimboni Mbeya

nimecheka sana , moja imethibitisha uwezo mdogo sana wa akili ulionao, CHADEMA ni chama cha wananchi , hapo mbeya mjini wapo wanachama wengi tu wenye uwezo wa kugombea ubunge na nafasi nyingine kupitia chama chao, na hiyo ni haki yao , akili ndogo uliyonayo na ufinyu wa kufikiri vikisindikizwa na njaa kali uliyonayo vinakwambia SUGU ndiye mtu pekee mwenye hatimiliki ya jimbo la mbeya mjini , jitahidi sana kuficha upofu wa mawazo ulionao na ukitumia kichwaa kufikiri baadda ya kutumia matako kufikiri , wewe ni nani wa kuwapangia CHADEMA kiongozi wao ,
Pumbaf
 
Kufuatia shughuli za siasa kuruhusiwa rasmi nchini sasa rasmi sisi wana Mbeya tumeshamuaga Tulia na kumkaribisha mh Sugu.

Namaanisha kuwa tulipatiwa mbunge ambaye halikuwa chaguo letu sisi wana Mbeya.

Sasa wakati umefika wa wana Mbeya kuonyesha hasira zetu kwa kumchagua mbunge ambaye atakuwa ni chaguo letu mh Sugu.

Tulia rudi kwenu wanako kufahamu maana hapa uliletwa kwa lazima.
Endeleeni kuota. Mkijikojolea mtaamka! Daktari Tulia yupo sana Mbeya Mjini!
 
Kufuatia shughuli za siasa kuruhusiwa rasmi nchini sasa rasmi sisi wana Mbeya tumeshamuaga Tulia na kumkaribisha mh Sugu.

Namaanisha kuwa tulipatiwa mbunge ambaye halikuwa chaguo letu sisi wana Mbeya.

Sasa wakati umefika wa wana Mbeya kuonyesha hasira zetu kwa kumchagua mbunge ambaye atakuwa ni chaguo letu mh Sugu.

Tulia rudi kwenu wanako kufahamu maana hapa uliletwa kwa lazima.

Wachaaaaa!
 
Back
Top Bottom