nimecheka sana , moja imethibitisha uwezo mdogo sana wa akili ulionao, CHADEMA ni chama cha wananchi , hapo mbeya mjini wapo wanachama wengi tu wenye uwezo wa kugombea ubunge na nafasi nyingine kupitia chama chao, na hiyo ni haki yao , akili ndogo uliyonayo na ufinyu wa kufikiri vikisindikizwa na njaa kali uliyonayo vinakwambia SUGU ndiye mtu pekee mwenye hatimiliki ya jimbo la mbeya mjini , jitahidi sana kuficha upofu wa mawazo ulionao na ukitumia kichwaa kufikiri baadda ya kutumia matako kufikiri , wewe ni nani wa kuwapangia CHADEMA kiongozi wao ,