Kwaherini

Kwaherini

Kwaheri mama.

It is too bad that hatuwezi kuingilia maamuzi yako. Lakini, kama ingelipasa tungelikushauri urudishe moyo wako nyuma. Bado wahitajika humu Mkuu....

Anyway, tutakutana kwa Mtogole.

Kujiondoa JF yakupasa usitumie tena kifaa chenye internet, lazima utajiroga na kuingia tu.......

Kwaheri Mama, all the best.
 
Tutakumis Ila tunakuombea dua kama kuna jambo limekutokea mungu akuepushe nalo
 
Sijaelewa vizuri, unaaga kupost na kuanzisha nyuzi au ndio unanawa kabisa hata ile kuchungulia JF?

Kuna wengine waliaga ila ukienda kwenye profile zao last seen iko updated kila siku wanachungulia JF.

Nikutakie kustaaf kwema kutumika JF
 
Wapendwa,
Baada ya kuwa member wa muda mrefu hapa umefika wakati ni me nimeamua kujitoa, hii ni kutokana na muongezeko wa majukumu. Hapa ni mpata marafiki ambao ninaweza kusema ni wa kudumu. Hata mimi ninasikitika kuondoka lakini imekuwa vigour kugawa muda wangu.

Kwaherini wapendwa.
Jitahidi ubadili mwandiko ukija na Id mpya
 
Katika wadada ninaowakubali na kujifunza mambo mengi muhimu kupitia kwao basi wewe dada
Sky Eclat ur my number one,sitaki kuamini kama ni kweli unaaga humu,tutaandamana ili kukushawishi ubadili huo uamuzi wako.
I will be your number one. Dont woryyyy
 
Wapendwa,
Baada ya kuwa member wa muda mrefu hapa umefika wakati ni me nimeamua kujitoa, hii ni kutokana na muongezeko wa majukumu. Hapa ni mpata marafiki ambao ninaweza kusema ni wa kudumu. Hata mimi ninasikitika kuondoka lakini imekuwa vigour kugawa muda wangu.

Kwaherini wapendwa.
Nahisi simu yako imeshikwa na mtu mwingine sio wewe tunayekufahamu!!!
 
Subiri kwanza mpaka bashite atoe vyeti.
Au hujafahamu yupo hatua za mwisho kuvikamilisha?.
 
Wapendwa,
Baada ya kuwa member wa muda mrefu hapa umefika wakati ni me nimeamua kujitoa, hii ni kutokana na muongezeko wa majukumu. Hapa ni mpata marafiki ambao ninaweza kusema ni wa kudumu. Hata mimi ninasikitika kuondoka lakini imekuwa vigour kugawa muda wangu.

Kwaherini wapendwa.

wasalimie huko China unapoenda kuolewa.
 
Wapendwa,
Baada ya kuwa member wa muda mrefu hapa umefika wakati ni me nimeamua kujitoa, hii ni kutokana na muongezeko wa majukumu. Hapa ni mpata marafiki ambao ninaweza kusema ni wa kudumu. Hata mimi ninasikitika kuondoka lakini imekuwa vigour kugawa muda wangu.

Kwaherini wapendwa.
duh jamani.
Tutakumisi.
 
Back
Top Bottom