Kwaherini

Kwa nini lakini?
Usiondoke bhana kuna watu wanajifunza mengi humu kupitia wewe haswa mimi
Ombi langu unaweza ukatumia hata mda wako wa ziada kuingia humu
Nadhani hakuna majukumu ya kukubana kiasi hicho kushingwa kuingia Jf
Kama ilivyo kutumia Whatsap, Instagram n.k
 
umeamua kubadili ID sio
 
Ntakumiss sana
 
Wish you the best of this beautiful and wonderful world! Stay alive!
 
Honestly, this is very unfair.

Kwa kipindi ambacho utakuwa huna nafasi, basi ungebaki kimya tu. Nina uhakika utapata nafasi siku za usoni na kurudi tena.
 
Mkuu, usije ukaenda halafu ukarudi kugonga hodi kama nyu memba. Wengi wameshafanya hivyo ili kuifaidi ID mpya
 
kila kitu kina mwisho but we will miss you
 
Japo ni hudhuni lakini inabidi wengine waondoke wengine waingie, nipo njiani pia kuondoka nakutakia kila la kheri ndugu yangu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…