Kwahii kauli ya Rais Samia, Je Hayati Magufuli ndiye aliamua kufuta mikutano ya kisiasa kwa utashi wake au ni CCM?

Kwahii kauli ya Rais Samia, Je Hayati Magufuli ndiye aliamua kufuta mikutano ya kisiasa kwa utashi wake au ni CCM?

Lyetu

JF-Expert Member
Joined
Feb 11, 2018
Posts
1,268
Reaction score
3,429
"Wakati nasema tufungue mikutano ya hadhara kwenye chama changu kulikuwa kugumu kidogo, mjadala ulikuwa mkubwa kama mnavyofanya nyie, najua juzi Mbowe alikuwa na mjadala mkubwa kwanini mmemuita Rais kwenye hili jukwaa, kwa hiyo mwenyekiti wale wahafidhina wapo kwangu wapo kwako,” ameeleza Rais wa Tanzania, Samia Suluhu
 
.....nadhani wazo la kufungia mikutano lilikua la the late ila labda liliungwa mkono na wengi chamani na hasa wabunge wanaoogopa siasa za ushindani majukwaa ni....hofu ya kupoteza ingawa Kwa Sasa naona upinzani they are not strong enough, so ni swala la kujipanga vizuri tu....
 
Kauli ya rais ni kauli ya serikali. Rais ana utashi wake wa kisiasa, anaweza akafanya regime na ikawa hivyo
 
Back
Top Bottom