Kwahiyo Dua za Yanga ni za upande mmoja tu, Waluteri na Wakatoliki au hata Mwamposa hawamo?

Kwahiyo Dua za Yanga ni za upande mmoja tu, Waluteri na Wakatoliki au hata Mwamposa hawamo?

Mzee Magoma naye
FB_IMG_1722385080557.jpg
 
Andiko langu lisihusishwe na Udini, ni hoja inayohitaji majibu.

Naandika haya nikitambua kwamba kuna watu wa dini zote wakiwemo hata wapagani ni Wana yanga, sasa kutumia kitabu kimoja tu kuomba dua ni kuwatenga wengine.

Ndio maana nikauliza hao wengine hawamo kwenye hiyo timu, ai dini zao haziruhusu dua michezoni?

Naomba kuwasilisha

View attachment 3059653View attachment 3059654View attachment 3059655
siku zote wamekuwa wadini sana, wajinga sana hawa. naombea wafungwe tu. kwa hiyo hapa ndio kuna siku watataka watu wanunue card za uanachama, si itakuwa sawa na kununua card za hamas tu.
 
siku zote wamekuwa wadini sana, wajinga sana hawa. naombea wafungwe tu. kwa hiyo hapa ndio kuna siku watataka watu wanunue card za uanachama, si itakuwa sawa na kununua card za hamas tu.
Wewe wakuja huelewi historia ya Simba na Yanga.

Nyerere kafanyiwa sana visomo na wazee wa Tanu ambao ukanda wa Dar majority ni waislamu.
 
Watu wengi hawafaham ,, ukweli ni kwamba Timu za Simba na Yanga ni za Kariakoo na ilivyo Kariakoo au Pwani nzima ni ya waislam by origin.

Nyie wa Mwakaleli ipo timu yenu ya kuit1a Tukuyu Stars ,,. Shangilia hiyo Kama utaona hizo dua huko.
 
Hizi dini zilizoibukia mashariki ya kati, hasa hii iliyoanzishwa na warlord ni janga kwa dunia.

Kila inaposhamiri, amani hutoweka/kupungua sana.

Waafrika bado tuna nira ya ukoloni shingoni.
 
Andiko langu lisihusishwe na Udini, ni hoja inayohitaji majibu.

Naandika haya nikitambua kwamba kuna watu wa Dini zote wakiwemo hata wapagani ni Wana Yanga, sasa kutumia kitabu kimoja tu kuomba dua ni kuwatenga wengine.

Ndio maana nikauliza hao wengine hawamo kwenye hiyo timu, au Dini zao haziruhusu dua michezoni?

Naomba kuwasilisha

[​
 
Andiko langu lisihusishwe na Udini, ni hoja inayohitaji majibu.

Naandika haya nikitambua kwamba kuna watu wa Dini zote wakiwemo hata wapagani ni Wana Yanga, sasa kutumia kitabu kimoja tu kuomba dua ni kuwatenga wengine.

Ndio maana nikauliza hao wengine hawamo kwenye hiyo timu, au Dini zao haziruhusu dua michezoni?

Naomba kuwasilisha

Mangungu na wazee wa Simba walipofanya dua kama hii ya kuiombea Simba mbona hukuja na uzi?
 
Andiko langu lisihusishwe na Udini, ni hoja inayohitaji majibu.

Naandika haya nikitambua kwamba kuna watu wa Dini zote wakiwemo hata wapagani ni Wana Yanga, sasa kutumia kitabu kimoja tu kuomba dua ni kuwatenga wengine.

Ndio maana nikauliza hao wengine hawamo kwenye hiyo timu, au Dini zao haziruhusu dua michezoni?

Naomba kuwasilisha

Mangungu na wazee wa Simba walipofanya dua kama hii ya kuiombea Simba mbona hukuja na uzi?
 
kwahiyo yanga ni ya kiislam?
Am Christian, lakini Wakristo wengi ni kama wehu.

Misikiti haijawahi kumiliki timu lakini kanisa lilikuwa linamiliki timu madaraja tofauti.

Catholic Chang'ombe walikuwa na timu kali sana inaitwa ujirani mwema.

Father Kamili Kiwalani alianzisha timu ya Vatican ambayo wanachama walikuwepo mpaka waislamu na wachezaji waislamu.

Ethiopia ile Saint George ni timu ya kanisa.

Tupunguze nongwa za kipumbavu, ukienda Roma ishi kama Waroma, kwahiyo Simba na Yanga kwa asili ni timu za waswahili wa Dar ambao majority ni waislamu.
 
siku zote wamekuwa wadini sana, wajinga sana hawa. naombea wafungwe tu. kwa hiyo hapa ndio kuna siku watataka watu wanunue card za uanachama, si itakuwa sawa na kununua card za hamas tu.
😆😆😆
 
Am Christian, lakini Wakristo wengi ni kama wehu.

Misikiti haijawahi kumiliki timu lakini kanisa lilikuwa linamiliki timu madaraja tofauti.

Catholic Chang'ombe walikuwa na timu kali sana inaitwa ujirani mwema.

Father Kamili Kiwalani alianzisha timu ya Vatican ambayo wanachama walikuwepo mpaka waislamu na wachezaji waislamu.

Ethiopia ile Saint George ni timu ya kanisa.

Tupunguze nongwa za kipumbavu, ukienda Roma ishi kama Waroma, kwahiyo Simba na Yanga kwa asili ni timu za waswahili wa Dar ambao majority ni waislamu.
Ofcourse mambo mengine ni kuyaacha yapite tu kuna mila na tamaduni huwezi kubadikisha unless unataka kuwagawa watu kwa mfano leo nipande dar express kisa mimi muislamu niwaambie watoe kwaya zao au wale wachungaji wanaopanda kutupigia makelele ,tuanze kuwakataa ,tuishi kwa kuvumiliana
 
Na wewe punguza ujinga, hizo timu za kariakoo ni za waswahili, mambo mengine yaache kama ulivyoyakuta, usifurahie tu unavyoona matokeo uwanjani hao ndio wanaocheza mechi nje ya uwanja.

Kuna Mkristo anayejuwa Kurujuwani?

Je kuna Mkristo anayeweza kukaa hivyo kwenye jamvi?
Unaposema Waswahili unamaanisha Waislam?
 
Ila na viongozi nao wanatakiwa wajitathmini. Hata kama kwenye ngazi za juu karibia wote ni watu kutoka imani moja, hawatakiwi kuchanganya kila kitu na hiyo imani yao.

Wakumbuke tu timu ina mashabiki na wanachama wa kutoka kwenye imani na matabaka yote katika jamii.
Swadakta
 
Back
Top Bottom