Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mpira ulianzishwa na Wakristo. Kwa Waislamu safi mpira ni haramu, hadi majuzi tu walipoona wasibaki nyuma.Mpira wapi na wapi na RC au KKKT?
Sawa haina tatizo hilo.Mpira ulianzishwa na Wakristo. Kwa Waislamu safi mpira ni haramu, hadi majuzi tu walipoona wasibaki nyuma.
Siku ya Yanga day itakuwa sala kutoka upande mwingine, maombi ya Wagalatia yatawakilisha dini zote pia.Lengo ni Dua
Dua ya dini moja imewakilisha zote ukitaka kila mwenye dini yake yafanyike maombi si patakeshwa Mkuu
Mpira ulianzia Uarabuni?Teh teh teh teh!Mpira wapi na wapi na RC au KKKT?
Niliandika humu juzi kuinua yanga wajiepushe na kujifungamanisha na vyama vya siasa na diniAndiko langu lisihusishwe na Udini, ni hoja inayohitaji majibu.
Naandika haya nikitambua kwamba kuna watu wa Dini zote wakiwemo hata wapagani ni Wana Yanga, sasa kutumia kitabu kimoja tu kuomba dua ni kuwatenga wengine.
Ndio maana nikauliza hao wengine hawamo kwenye hiyo timu, au Dini zao haziruhusu dua michezoni?
Naomba kuwasilisha
Halafu aambiwe anaigawa timu na viongozi?Wenyewe hawakuliona hilo awali?Au walipanga wafanye shirki/ulozi?Si muwaite viongozi wenu na nyie muiombee timu.
We kijana unapenda rabsha rabsha sana.
sijui loloteWewe unaposikia waswahili huwa unaelewa waswahili ni watu gani?
MsagajiSiku mkianzisha Ufipa FC mtamwalika Mwamakula au Shoo aje kuwaombea.
Kahamia Sisyemu.Ni mwenzetu.Msagaji
Sipendi rabsha ila napenda kujua, tuvumiliane tu mkuu, kuuliza si UjingaSi muwaite viongozi wenu na nyie muiombee timu.
We kijana unapenda rabsha rabsha sana.
Mama mwashambwa anhaa unakazia sio.Uzi ufungwe..!
Nilijua wapumbavu wamepungua kumbe bado wapo wengi!?Hizi dini zilizoibukia mashariki ya kati, hasa hii iliyoanzishwa na warlord ni janga kwa dunia.
Kila inaposhamiri, amani hutoweka/kupungua sana.
Waafrika bado tuna nira ya ukoloni shingoni.
Huwa nawashangaa wakristu wanaoshanikia timu hizi mbili za kariakoo eti timu yangu. Zile ni taasisi za dahwaAndiko langu lisihusishwe na Udini, ni hoja inayohitaji majibu.
Naandika haya nikitambua kwamba kuna watu wa Dini zote wakiwemo hata wapagani ni Wana Yanga, sasa kutumia kitabu kimoja tu kuomba dua ni kuwatenga wengine.
Ndio maana nikauliza hao wengine hawamo kwenye hiyo timu, au Dini zao haziruhusu dua michezoni?
Naomba kuwasilisha
Inawakilisha zote vipi wakati Kila mmoja ana Mungu tofauti na mwenzie. Mambo yanayoumganisha jamii epuka kuchanganya mambo ya dini. Hawa watu huwa hata hawajishtukii, unakuta press conference walasalimia watu SALAMALEKO , kama ungekuwa na akili hata mb Moja ungejua ni kwa nini salamu ya JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA ilitungwaLengo ni Dua
Dua ya dini moja imewakilisha zote ukitaka kila mwenye dini yake yafanyike maombi si patakeshwa Mkuu
Siku mkianzisha Ufipa FC mtamwalika Mwamakula au Shoo aje kuwaombea.